Mikataba yote ya Gautam Adani tutafute njia ya kisheria ya kuifuta

Mikataba yote ya Gautam Adani tutafute njia ya kisheria ya kuifuta

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
 
mama yuko vizuriii mazee dah...kanjibahiii kalamba dumee hapa
 
Kafulila tulijua utakwama

Screenshot_2024-11-21-17-17-23-1.png
 
Jamaa katoa rushwa ya Dola million 250 huko India sasa kama katoa hata aslimia kumi hapa Bongolalania nani afute mkataba
 
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
Kenge hafi mpaka damu itoke masikioni!
Africa huwa ni wizi tu, nothing else
 
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
TLS, Tanganyika Law Society kuna wabobezi huko wawajumuishe kwenye hii mikataba hatarishi kwa Taifa, wasione aibu mficha maradhi humuumbua

It is never too late in life
 
Tumbili kafulilaYuko wapi? Amepiga kelele wee juu ya PPPP kumbe ana mfagilia huyu tapeli

Wenye akili tulishajua tumbili anaingizwa mtegoni ili abutuliwe

Ccm ni mafia sana
 
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
FB_IMG_1732197504260.jpg
 
TLS, Tanganyika Law Society kuna wabobezi huko wawajumuishe kwenye hii mikataba hatarishi kwa Taifa, wasione aibu mficha maradhi humuumbua

It is never too late in life
Dogo we mgeni nchini? Shida siyobTLS
Shida ni mfumo wa kifisadi wa ccm
 
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
Kumbe ndio maana kafulila anampigia chapuo sana!!!
Jamaa ni mtoa rushwa mzuri ili apate tenda.
 
Tatizo la viongozi wetu wanakimbilia mikataba ya 10% bila kujali maslahi ya nchi ndiyo maana mikataba inakuwa ya sirisiri.

Huyu jamaa amegundulika anatoa rushwa kila mahali na kashitakiwa huko USA wenzetu wa Kenya wamesha sitisha mikataba na sisi tutafute njia sahihi ya kufuta hii mikataba.

Najua itakuwa ngumu kwa upole wetu kwa wala rushwa na kuzubaa zubaa kwentu na kuchekeana kila kitu lakini ni lazima tutafute njia na mikataba na mazungumzo yote na hii kampuni yasitishwe.

PIA SOMA
- Bilionea Gautam Adani ambaye Kafulila anataka kumpa shirika la TANESCO ashitakiwa kwa utapeli huko Marekani
Tanzania inabidi tijiulize kwanini huyo Jamaa KENYA wamemfurusha?
 
kwa hawa mafisadi wetu sidhani kama wanaweka kipengele cha kufuta mkataba hawa wakishalamba 10% zao imetoka hiyo...kwa bongolala hii ukisikia kuvunja au kufuta mkataba ujue hili nalo dili yaani kufuta mkataba lazima waweke kifungu cha kwenda mahakamani na huko nchi kulipishwa mabilioni ya pesa kama fidia kisha nao mafisadi wetu wanapata mgao wao 10% ndio inaisha hivyo..
 
Haya twende kwenye hoja ya msingi
Tatizo tunaishi kwenye.jamii ya kanyaga twende, jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, na ndiyo maana CCM wanafanya wanavyota

Nini kifanyike, ni jukumu la kila mwenye ufahamu kuielemisha jamii, hata hivyo binadamu akipata changamoto huamsha ubongo kukabiliana nazo, ngoja jamii iendelee kupata changamoto mbalimbali na ugumu wa maisha ndipo mafuvu yatarudishiwa akili
 
Back
Top Bottom