Mikataba yote ya Gautam Adani tutafute njia ya kisheria ya kuifuta

Mikataba yote ya Gautam Adani tutafute njia ya kisheria ya kuifuta

Tatizo la viongozi wetu ni 10%, wanaweka maslahi yao mbele kuliko taifa, ni wa roho na wenye uchu na mali, wakishaona maslahi yao ni makubwa, watafanya hiyo dili haijalishi kama tanzania itateseka katika hilo dili.
 
Tukiwa tunapiga kelele mnaona tunawaaibisha hatupendi maendeleo ona sasa mambo yenu yanawekwa hadharani.
 
Back
Top Bottom