makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Nov 22, 2024 #21 Tatizo la viongozi wetu ni 10%, wanaweka maslahi yao mbele kuliko taifa, ni wa roho na wenye uchu na mali, wakishaona maslahi yao ni makubwa, watafanya hiyo dili haijalishi kama tanzania itateseka katika hilo dili.
Tatizo la viongozi wetu ni 10%, wanaweka maslahi yao mbele kuliko taifa, ni wa roho na wenye uchu na mali, wakishaona maslahi yao ni makubwa, watafanya hiyo dili haijalishi kama tanzania itateseka katika hilo dili.
jkipaji JF-Expert Member Joined Sep 22, 2019 Posts 6,963 Reaction score 9,401 Nov 22, 2024 #22 Lukenya said: Ameshapewa mlungula wake huyo! Click to expand... Hata wwe ungekula tu mlungula sema bado hujapata fursa!!
Lukenya said: Ameshapewa mlungula wake huyo! Click to expand... Hata wwe ungekula tu mlungula sema bado hujapata fursa!!
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Nov 22, 2024 #23 Tukiwa tunapiga kelele mnaona tunawaaibisha hatupendi maendeleo ona sasa mambo yenu yanawekwa hadharani.
Tukiwa tunapiga kelele mnaona tunawaaibisha hatupendi maendeleo ona sasa mambo yenu yanawekwa hadharani.