Mikato ya pamba za hatari

Watoto wa Dar wanaazima sana nguo,sisi mkoani tunajinunulia Maimoria na Kiboroloni,wengine Tengeru,USA,Kikatiti,Makoroboi,Uyole,Mashine tatu
 
Watoto wa Dar wanaazima sana nguo,sisi mkoani tunajinunulia Maimoria na Kiboroloni,wengine Tengeru,USA,Kikatiti,Makoroboi,Uyole,Mashine tatu
Bila kutaja watu wa Dar thread haikamiliki. Wengine tukitaja maduka tunayonunua tutaambiwa tunajionesha.
[HASHTAG]#NoFakeZone[/HASHTAG]
 
miguu meupe hatar.....ww ni mzungu???
Huyo si mzungu bali hiyo picha ni yale masanamu yanayo valishwa nguo mpaka viatu kisha yakasimamishwa nje ama ndani ya duka la nguo ili kutangaza bidhaa iliyopo. Ichunguze picha hiyo kwa makini utapata jibu
 
Huyo si mzungu bali hiyo picha ni yale masanamu yanayo valishwa nguo mpaka viatu kisha yakasimamishwa nje ama ndani ya duka la nguo ili kutangaza bidhaa iliyopo. Ichunguze picha hiyo kwa makini utapata jibu

Watu wafukunyuku mpaka lisanamu
 
Boateng tumeambiwa hela zake anamalizia kwenye magari na mavazi, afadhali yule mtaalamu wa kuuramba nguo za mitumba. Hongera dogo ila usizidishe sana pamba
 
Mkuu hivi viatu sio vya walemavu mbona vyote vya kushoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…