Mikato ya pamba za hatari

Kwahio sisi wapanda daladala hatustahili kuvaa vizuri?! Kuku wa kienyeji mwenyewe!!!

Hahah hahah hahah! Basi we Broiler au Layer!

Kuvaaa vizuri Kama huna chombo unaruhusiwa Ila Mikato ya hatari Kama huna chombo ni karha wa Bughdha!
 
Hahah hahah hahah! Basi we Broiler au Layer!

Kuvaaa vizuri Kama huna chombo unaruhusiwa Ila Mikato ya hatari Kama huna chombo ni karha wa Bughdha!
Kwahio kuna tofauti kati ya kuvaa vizuri na mikato ya hatari?! Nieleweshe. Mimi huwa navaa simple.
 
Hiko kikoti na hiyo jeans a hiyo shat nimevikubali niambie navipat kwa shop ipi jamani

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…