Mike namshauri haya mambo hayawezi na hayajui vizuri naomba atulie tuu atuhakikishie jf haipati odds attack....haya mengine yanaweza mfanya akaiona jf yake chungu
Nimejikuta nachekaNaona baby daddy namba tatu anajisogeza pheeeeewwww kwan hamisa ni msanii mpaka ashushwe watu wengine bana
Dada yangu mpenz umekuaje leoKabisaa na wanawake huwa tunajua na bado tutagombana ili tugegedwe na Huyo mgegedaji maarufu.
Ewaaaa....mwanaume haitwi Malay.a wanawake tujiongeze tu
Puchi so good [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaomtetea wanashangaza sana maana mtu mwenyewe alijipeleka kajitegesha mimba na tambo kibao,kashfa tele. Saiv yanamtokea pabaya anaanza tafuta huruma za watu pyeeeeee
Magusiano yoyote yaheshimiwe kabla ya kuvamiwa ovyo eti kisa watu wanasema hao wapendanao hawaendan na bla bla kibao
Eti pussy so hot hahaha aiseee
Juu ya Diamond's DikiiHivi alikuwa juu yanini? mie hata sijaelewa kabisa
Puchi so good [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama ake naye anatafuta huruma mitandaoni. Anasahau alivyokua anawapongeza team hamisa katika kumchamba zari.
Yani kweli malipo hapa hapa duniani akhera inaenda hesabu tu
Pussy so hot angeachwa na majizoo babuu. Sema tu Diamond mwanaume hawezi kuwa hana gf halafu kuna free papuchi from Misa asiitumie haiwezekani kabisa. Hamisa nilikua nampenda ila kutumika kumkomesha Zari na mwanaume mwenyewe kamgeuka nimefurahi kama nini.Puchi so good [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama ake naye anatafuta huruma mitandaoni. Anasahau alivyokua anawapongeza team hamisa katika kumchamba zari.
Yani kweli malipo hapa hapa duniani akhera inaenda hesabu tu
Hamisa hajashushwa kajishusha mwenyewe kuzaa kumkomoa mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasahau kwamba zari anajitafutia mkate wake wa kila siku mwenyewe. Baba hajaona watoto wake miezi mitano na hajaombwa child support.Na malipo wanayoyapokea hawakutegemea [emoji23][emoji23][emoji23]walidhan puchi tamu itahongwa nyumba zaidi ya zari badala yake kapewa hisani tu gorofan kachumba kamoja
Pussy so hot angeachwa na majizoo babuu. Sema tu Diamond mwanaume hawezi kuwa hana gf halafu kuna free papuchi from Misa asiitumie haiwezekani kabisa. Hamisa nilikua nampenda ila kutumika kumkomesha Zari na mwanaume mwenyewe kamgeuka nimefurahi kama nini.
Azae tu maana kajigeuza kiwanda cha kutotoa watotoTeena kaeneza uvumi ana mimba nyingine na anahamu ya mapacha
hahahaaa umenichekeshaaKabisaa na wanawake huwa tunajua na bado tutagombana ili tugegedwe na Huyo mgegedaji maarufu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasahau kwamba zari anajitafutia mkate wake wa kila siku mwenyewe. Baba hajaona watoto wake miezi mitano na hajaombwa child support.
Yan hamisa hata mm zamani mpaka anajifungua fancy nilikua nampendaga.Pussy so hot angeachwa na majizoo babuu. Sema tu Diamond mwanaume hawezi kuwa hana gf halafu kuna free papuchi from Misa asiitumie haiwezekani kabisa. Hamisa nilikua nampenda ila kutumika kumkomesha Zari na mwanaume mwenyewe kamgeuka nimefurahi kama nini.
Ile familia ina roho mbaya tu. Yani wakiona kaka yao yuko busy na mwanamke wanachukua mwanamke mwingine wanamuweka karibu kuvuruga mahusiano ya ndugu yao. Sasa kama Hamisa alitakiwa ajue nafasi yake ni kivuruge akajiweka ugf matokeo yake Diamond akipata mwanamke mwingine wa maana anamtosa Misa maana kazi imeisha.Ila nimegundua waliomtumia walitaman sana aolewe yeye ila binti akawageuka kutaka kutawala hadi mifuko ya bwana huku akifahamu familia nzima inamtegemea huyo bwana
Mara nyingi mnapoanza huwa kimya kimya dushe likikolea mnatafuta matarumbeta....Yeye ilipaswa amchune mondi kimya kimya
Yani mimi mpaka anamzaa Dylan nilikua upande wake vile Diamond alivyomtenga na mtoto. Nikaja kugundua alizaa Dylan kuwin Diamond's heart na kumkomoa Zari. Halafu na yote aliyofanyiwa mpuuzi akakubali kutumika tena na Diamond kumkomoa Zari. Mjinga sana huyo dada.Yan hamisa hata mm zamani mpaka anajifungua fancy nilikua nampendaga.
Ila alivyokuja kuingia kwenye mahusiano na bwana wa mtu na kutaka kumkomoa mwanamke mwenzie haki kanikera sana. Aendelee kupokea malipo ya kazi yake.