Ameze tu hakuna namna kwani si wapo walioachwa na mond waunde team yaoNa malipo wanayoyapokea hawakutegemea [emoji23][emoji23][emoji23]walidhan puchi tamu itahongwa nyumba zaidi ya zari badala yake kapewa hisani tu gorofan kachumba kamoja
Haaaa [emoji23] [emoji23] tena?Teena kaeneza uvumi ana mimba nyingine na anahamu ya mapacha
Good, ndiyo nawengine wajifunze kuokoteza hovyo hovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anasahau kwamba zari anajitafutia mkate wake wa kila siku mwenyewe. Baba hajaona watoto wake miezi mitano na hajaombwa child support.
Lavyuu mamii unaonekana una hekima sanapole Hamisa,kuanguka ni kujifunza,inasikitisha wanaomtukana wengi ni wanawake,mmmnh sad,nakushauri achana na social media fanya mambo yako privately,usiingie insta kama miezi mitatu mapoyoyo wanaokutukana watakua washampata mwingine wa kumtukana….wewe ni msichana mdogo sana,usikate tamaa….wa kwako yupo...believe it...
Aliingia vibaya alijua anavuruga kumbe anavurugwaZari ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] usipoota utapikia. Bwana kajirudisha na zawadi juu acha bibie atishie kujiua
Mie mvuruga maisha ya watu na starehe zao hapana yeye abembee tu na maisha yake ya udangajiYan hamisa hata mm zamani mpaka anajifungua fancy nilikua nampendaga.
Ila alivyokuja kuingia kwenye mahusiano na bwana wa mtu na kutaka kumkomoa mwanamke mwenzie haki kanikera sana. Aendelee kupokea malipo ya kazi yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoma inogileMara nyingi mnapoanza huwa kimya kimya dushe likikolea mnatafuta matarumbeta....
Mchuma ujinga hula na wakwaoWale wote wanamtegemea dai kwa kila kitu hivyo wanamcontrol ili wasikatishiwe ulaji
Hamisa akili hana alitakiwa kula kimya kimya no vijembe wala nini,mwisho wa siku tungeshtukia anamiliki mjengo wake wa maana,biashara ya kueleweka. Ila ndo hivyo tena akataka awafaidishe akina nikomesheeee
Kama mbwamwituTatizo show off mama. Mtu kula kimya kimya hawezi mpaka matangazo. Wenzao wanakulaga wanafuta midomo kimyaaaa
Uwiii nene mweeeNdio tatizo la kuwekeza akili kwenye pussy..acha yamkute..shubaaat!!
Haaaa [emoji23] [emoji23] tena?
Kama ya bahari inavyotema takatakaDiamond anawajulia sana watu wake yaani anawazoa anaamua akawamwage wapi alafu kesho anaenda kuwazoa tena anawatupa sehemu nyingine na watu wake hawana shida.
Fuatilia yote yanayoendelea ila hakuna sehemu utasikia Diamond amekosea utaona wanalaumiwa wanawake tu tena wanaongoza lawama ni wanawake wenzao hapo ndipo naishia kucheka na kuna mibaba jasho linawatoka uko IG kisa Diamond na wanawake zake duh hakika kama misukule uyu kijana anayo mingi namshauri aanzishe na yeye kundi lake la FOREX mbona itakua kama chuo [emoji23][emoji23][emoji23]
Utazani mashabiki wa nyuki wakikimbilia huku sauti huku wakienda kule sauti kule[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Weeeee wambongo wa insta kwenye umbea kipaumbele ili kutuliza makali ya maisha ila wagusie hela watakukimbia unakumbuka wema sepetu na timu yake na lipstic zimemdodea mpaka wa leo ingawa ukijaribu kumsema wema watakuvamia kama mvua ya mawe ujute
You said it allJamii na maadili yetu yanapotea sana. Kinacho mtokea Hamisa hapa ni kwamba ni fundisho kwa wanawake wote. Ukiona mwanaume ana mwanamke wake ambae anatambulika na huyo mwanaume ana mtambulisha huyo mwanamke wake kama mwenza wake, hata kama hawajafunga ndoa lakini amemtambulisha, wamezaa na wanashirikiana mambo yoote kama bwana na bibi, na wewe unamfahamu huyo mwanamke wake na una urafiki nae, usikae ujiingize kwenye mahusiano na mwanaume huyo, then umzalie mtoto, then uanze vijembe na kumkebehi huyo mwanamke wake. Karma will always find you. Let the man end his relationship na mwanamke wake then aje kwako. Halafu mwanaume anayejua umemkubali na unajua ana mwanamke wake kamwe hatokuheshimu.
Kingine kikubwa, jamani kuna magonjwaaa. Unalala vipi na mwanaume bila kinga na unajua analala na mwanamke wake bila kinga too?
Yeye alitakiwa kula kimya kimya kwanini aote mabawa, mie nilikuwa hata siyajui nilisafiri huko kuna team mpaka mikoani Zari & Hamisa mmmmm nilichokaEe binti kajigeuza incubator
Yeye alitakiwa kula kimya kimya kwanini aote mabawa, mie nilikuwa hata siyajui nilisafiri huko kuna team mpaka mikoani Zari & Hamisa mmmmm nilichoka
Si alikua anasema sio kosa lake kuzaa na wanaume matajiri. Imekuaje tena mpaka michangoHaya naona anaombewa michango eti ana hali mbaya kiuchumi aiseee ina maana tambo zote zile hakua anapewa pesa ya kutosha na dai
Si alikua anasema sio kosa lake kuzaa na wanaume matajiri. Imekuaje tena mpaka michango