Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Wale wote wanamtegemea dai kwa kila kitu hivyo wanamcontrol ili wasikatishiwe ulaji
Hamisa akili hana alitakiwa kula kimya kimya no vijembe wala nini,mwisho wa siku tungeshtukia anamiliki mjengo wake wa maana,biashara ya kueleweka. Ila ndo hivyo tena akataka awafaidishe akina nikomesheeee
Hamisa akili hana alitakiwa kula kimya kimya no vijembe wala nini,mwisho wa siku tungeshtukia anamiliki mjengo wake wa maana,biashara ya kueleweka. Ila ndo hivyo tena akataka awafaidishe akina nikomesheeee
Ile familia ina roho mbaya tu. Yani wakiona kaka yao yuko busy na mwanamke wanachukua mwanamke mwingine wanamuweka karibu kuvuruga mahusiano ya ndugu yao. Sasa kama Hamisa alitakiwa ajue nafasi yake ni kivuruge akajiweka ugf matokeo yake Diamond akipata mwanamke mwingine wa maana anamtosa Misa maana kazi imeisha.