Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo usishangae kipumbavu why Tyson ameamua kufuata uislam
Hata baada ya kujitambua bado umeikumbatia hyo dini ya waarabu funTulichelewa kujitambua[emoji120]
Hata baada ya kujitambua bado umeikumbatia hyo dini ya waarabu fun
mnaanza kupindisha ukweli ...waliona ukweli upo wapi.....mnajifariji wenzenu wenye akili zao walishashtuka mapema....aliyebugi huwa anajirekebisha mbona wakiingia uislamu hawatoki kurudi dini zao za zamaniWalibugi vibaya vibaya mkuu, angalia hata sababu yake ya kubadili jina kutoka Casuius Clay kuwa Mohammed Ali ni kwamba alichukulia hili ni kama jina la kiafrika.
Kwasababu ni confused, hata wakina Malcolm X na Mohamed Ali before walichulia uislam kama una uhusiano flani na uafrika kumbe wamebugi.
mnaanza kupindisha ukweli ...waliona ukweli upo wapi.....mnajifariji wenzenu wenye akili zao walishashtuka mapema....aliyebugi huwa anajirekebisha mbona wakiingia uislamu hawatoki kurudi dini zao za zamani
Kila mtu na uhuru wake wa kuabuduI can be more conscious than Mike Tyson bro.
Walibugi vibaya vibaya mkuu, angalia hata sababu yake ya kubadili jina kutoka Casuius Clay kuwa Mohammed Ali ni kwamba alichukulia hili ni kama jina la kiafrika.
acheni kudanganyana nyinyi ingia kwenye page yake insta au fb ndipo mtajua tyson maisha yake hizi mambo za udaku udaku mnadanganyana sana black anerica ni christians pureblack americans wengi wanaamin kwamb wao n muslims in nature..
Kama hutojali, muongezee kidogo iwapo unao mtazamo mrefu.Ndo mwisho wa mtazamo wako
hizi habari za udaku udaku huwa hatuziamini ukitaka now kupata habari mitandao imezagaa sana mcheki ista au fb uone sio true huyo jamaa mda mrefu wanadai muslim but juzi kati mwezi wa kwanza katika kipindi cha ellen tv alidai amefungua kanisa but kuna mtu kamuweka anahubiri usa na hata christmas yake aliisherekea mbaka unajiuliza huyu ndio wanayesema muslims?Nampongeza
true nilisoma historia ya huyo jamaa alidhan majina na din hiyo ni ya waafrica kumbe africa wengi ni wakristo by uchunguzi hata bara lenyewe linajidhihirisha wazi wazi na ndio maana watoto wa huyu mohamed ali woote ni wakristo mbaka mke wakeWalibugi vibaya vibaya mkuu, angalia hata sababu yake ya kubadili jina kutoka Casuius Clay kuwa Mohammed Ali ni kwamba alichukulia hili ni kama jina la kiafrika.
Cha ajabu ni watu maarufu duniani ndio wanaojitambua kuwa walipotea sasa wameiona kweli.mnaanza kupindisha ukweli ...waliona ukweli upo wapi.....mnajifariji wenzenu wenye akili zao walishashtuka mapema....aliyebugi huwa anajirekebisha mbona wakiingia uislamu hawatoki kurudi dini zao za zamani