Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wewe idd mubarak huwa unakuwa wapi kujifurahishahizi habari za udaku udaku huwa hatuziamini ukitaka now kupata habari mitandao imezagaa sana mcheki ista au fb uone sio true huyo jamaa mda mrefu wanadai muslim but juzi kati mwezi wa kwanza katika kipindi cha ellen tv alidai amefungua kanisa but kuna mtu kamuweka anahubiri usa na hata christmas yake aliisherekea mbaka unajiuliza huyu ndio wanayesema muslims?
sio kila MWARABU NI MUISLAM.WALIFANYWA WATUMWA NA WAKISTO, ILA LABDA HAWAJUI UTUMWA WA MWARABU ULIKUA MBAYA ZAIDI
Huwa na share hili na rafiki zangu Black Americans...black americans wengi wanaamin kwamb wao n muslims in nature..
Kama true unashangaaje Tyson kuitambua iliyokweli kwake
PAGANISM [emoji83]I'm woken up already. Najitambua
Ni hasira ya kutopenda kuwa kundi moja na oppressors wao. Walizoea kuwaona slavemasters wao wakienda makanisani kusali na kutoa sadaka zinazotokana na kazi za suluba za watumwa weusi. Wakahitaji identity yao tofauti na hao oppressors wao. Hata South Afrika ya apartheid era, waafrika walikataa kutumia lugha ya makaburu mashuleni na wakaamua bora wabaki na kiingereza na lugha zao za jadi (zulu, xhosa etc) maana lugha ya Afrikaans ilikuwa a constant reminder ya mateso wanayopata, na walijisikia kudhalilishwa sana wanapolazimishwa kutumia lugha ya mtesi wao.Sababu kubwa ni nini?
Hahaa kule wanapata elimu ya jino kwa jino sioNi hasira ya kutopenda kuwa kundi moja na oppressors wao. Walizoea kuwaona slavemasters wao wakienda makanisani kusali na kutoa sadaka zinazotokana na kazi za suluba za watumwa weusi. Wakahitaji identity yao tofauti na hao oppressors wao. Hata South Afrika ya apartheid era, waafrika walikataa kutumia lugha ya makaburu mashuleni na wakaamua bora wabaki na kiingereza na lugha zao za jadi (zulu, xhosa etc) maana lugha ya Afrikaans ilikuwa a constant reminder ya mateso wanayopata, na walijisikia kudhalilishwa sana wanapolazimishwa kutumia lugha ya mtesi wao.
No, it's an act of rebelliousness. An enemy of your enemy is your friend. Ukinifanyizia najiunga na adui yako tunakuwa timu moja.Hahaa kule wanapata elimu ya jino kwa jino sio
Ni ile acts ya kukosa basic of beliefs system ndo kinawatesa wengi.No, it's an act of rebelliousness. An enemy of your enemy is your friend. Ukinifanyizia najiunga na adui yako tunakuwa timu moja.
Dini ni mojawapo tu ya agents of social control. Kadri maendeleo ya kijamii na kiuchumi yalivyozidi kuimarika, agents nyingine za social control zimepata prominence na dominance kuliko dini, ndiyo maana ufuasi mkubwa wa dini umebakia zaidi kwa nchi maskini.Ni ile acts ya kukosa basic of beliefs system ndo kinawatesa wengi.
Huwa najiuliza kwanini hao waanzilishi siku hizi hawana muda na walichoanzisha sisi receiver ndio tupo loyal sana?
Binti Mkubwa wa Muhammad Ali, Maryum Ali, akiongea na Los Angeles Times anasema:true nilisoma historia ya huyo jamaa alidhan majina na din hiyo ni ya waafrica kumbe africa wengi ni wakristo by uchunguzi hata bara lenyewe linajidhihirisha wazi wazi na ndio maana watoto wa huyu mohamed ali woote ni wakristo mbaka mke wake
She's probably an American Christian telling lie about her true religion!And what's most important for me is that I love my religion of Islam. I stand up for being a Muslim, with all the craziness going on, all the negativity in this country about who Muslims are. I am proud to be a Muslim and unapologetic because of my father. He was going to give up his boxing profession for his faith. That was a beautiful example to have guide me.
Nikuletee wengine?!(CNN)The son of legendary boxer Muhammad Ali said he was detained by immigration officials at Ft. Lauderdale-Hollywood International Airport because he's a Muslim.
usiseme wamebugu kabla hatuja fika kwa mungu muweza wa yote kwa ajili ya hukumuKwasababu ni confused, hata wakina Malcolm X na Mohamed Ali before walichulia uislam kama una uhusiano flani na uafrika kumbe wamebugi.
geuza hiyo kauli yako yaani ni wewe
Tumia akili ulizopewa na Mungu wewe!!usipende kufata habari za udaku mitandao ipo waangalie insta au fb uone