Mike Tyson ndani ya Hijja mola amjalie kheir

Mike Tyson ndani ya Hijja mola amjalie kheir

hizi habari za udaku udaku huwa hatuziamini ukitaka now kupata habari mitandao imezagaa sana mcheki ista au fb uone sio true huyo jamaa mda mrefu wanadai muslim but juzi kati mwezi wa kwanza katika kipindi cha ellen tv alidai amefungua kanisa but kuna mtu kamuweka anahubiri usa na hata christmas yake aliisherekea mbaka unajiuliza huyu ndio wanayesema muslims?
kwani wewe idd mubarak huwa unakuwa wapi kujifurahisha
 
black americans wengi wanaamin kwamb wao n muslims in nature..
Huwa na share hili na rafiki zangu Black Americans...
Wanaichukia sana Historia yao ya Utumwa, wanauchukia sana Ukristo kutokana na Historia yake Africa, wanaona wao walikua Watumwa kwa sababu ya Ukristo ukiwa chanzo.....

Sasa hapo ndo wanapoona bora Islam......!

Japo hawajui kwamba kuna Watumwa kama wao walitoka East Africa kwenda Gulf Countries huko, wao walihasiwa hawakuzaliana kama wao huko Ulaya na America.
 
Kama true unashangaaje Tyson kuitambua iliyokweli kwake


Kuabudu ni uhuru wa mtu, lakini ukweli utabaki palepale, linapokuja swala la imani watu wengi bado wapo gizani.
 
Kuabudu ni uhuru wa mtu, lakini ukweli utabaki palepale, linapokuja swala la imani watu wengi bado wapo gizani.
Mmojawapo ni wewe[emoji83]
Huna dini[emoji84]
 
Sababu kubwa ni nini?
Ni hasira ya kutopenda kuwa kundi moja na oppressors wao. Walizoea kuwaona slavemasters wao wakienda makanisani kusali na kutoa sadaka zinazotokana na kazi za suluba za watumwa weusi. Wakahitaji identity yao tofauti na hao oppressors wao. Hata South Afrika ya apartheid era, waafrika walikataa kutumia lugha ya makaburu mashuleni na wakaamua bora wabaki na kiingereza na lugha zao za jadi (zulu, xhosa etc) maana lugha ya Afrikaans ilikuwa a constant reminder ya mateso wanayopata, na walijisikia kudhalilishwa sana wanapolazimishwa kutumia lugha ya mtesi wao.
 
Ni hasira ya kutopenda kuwa kundi moja na oppressors wao. Walizoea kuwaona slavemasters wao wakienda makanisani kusali na kutoa sadaka zinazotokana na kazi za suluba za watumwa weusi. Wakahitaji identity yao tofauti na hao oppressors wao. Hata South Afrika ya apartheid era, waafrika walikataa kutumia lugha ya makaburu mashuleni na wakaamua bora wabaki na kiingereza na lugha zao za jadi (zulu, xhosa etc) maana lugha ya Afrikaans ilikuwa a constant reminder ya mateso wanayopata, na walijisikia kudhalilishwa sana wanapolazimishwa kutumia lugha ya mtesi wao.
Hahaa kule wanapata elimu ya jino kwa jino sio
 
Ni ile acts ya kukosa basic of beliefs system ndo kinawatesa wengi.
Huwa najiuliza kwanini hao waanzilishi siku hizi hawana muda na walichoanzisha sisi receiver ndio tupo loyal sana?
Dini ni mojawapo tu ya agents of social control. Kadri maendeleo ya kijamii na kiuchumi yalivyozidi kuimarika, agents nyingine za social control zimepata prominence na dominance kuliko dini, ndiyo maana ufuasi mkubwa wa dini umebakia zaidi kwa nchi maskini.
Kitu pekee kinachoweza kusababisha dini ifuatwe hata na wasio na shida za uchumi na kijamii ni uthibitisho wa ile sehemu ya kiroho ya dini, spirituality rather than religiosity.
 
true nilisoma historia ya huyo jamaa alidhan majina na din hiyo ni ya waafrica kumbe africa wengi ni wakristo by uchunguzi hata bara lenyewe linajidhihirisha wazi wazi na ndio maana watoto wa huyu mohamed ali woote ni wakristo mbaka mke wake
Binti Mkubwa wa Muhammad Ali, Maryum Ali, akiongea na Los Angeles Times anasema:
And what's most important for me is that I love my religion of Islam. I stand up for being a Muslim, with all the craziness going on, all the negativity in this country about who Muslims are. I am proud to be a Muslim and unapologetic because of my father. He was going to give up his boxing profession for his faith. That was a beautiful example to have guide me.
She's probably an American Christian telling lie about her true religion!

Hapa chini, kuna Rasheda Ali... binti mwingine wa Muhammad Ali!
Rasheda.png


It's funny to see an American Christian yupo kwenye msikiti...

Kuna Muhammad Ali Junior na mama ake Belinda hapa chini!



Hilo tukio lilitokea baada ya "sera" za Donald Trump kuzuia Waislamu kuingia US!

Msikilize Muhammad kwenye dakika ya 1:40 na mama ake kwenye dakika 3:37 ili next time ujifunze kuacha kuongea mbele ya hadhara kwa mambo usiyo na uhakika nayo!

Kama bundle mgogoro, wasome CNN hapa chini:
(CNN)The son of legendary boxer Muhammad Ali said he was detained by immigration officials at Ft. Lauderdale-Hollywood International Airport because he's a Muslim.
Nikuletee wengine?!

Usipende kuongea hadharani vitu usivyo na uhakika navyo!!
 
Kwasababu ni confused, hata wakina Malcolm X na Mohamed Ali before walichulia uislam kama una uhusiano flani na uafrika kumbe wamebugi.
usiseme wamebugu kabla hatuja fika kwa mungu muweza wa yote kwa ajili ya hukumu
 
usipende kufata habari za udaku mitandao ipo waangalie insta au fb uone
Tumia akili ulizopewa na Mungu wewe!!

CNN ni udaku wa mitandaoni?!

Nimekuwekea screenshot ya Rasheeda's instagram account... ni udaku wa mitandaoni?

Usivyo na aibu, nimekuwekea hadi video clip ya mtoto wa Muhammad Ali mwenyewe pamoja na ex-wake wakihojiwa!
Kwa kufahamu watu vyuma vimekaza na unaweza kushindwa kusikiliza hiyo video, nikakuwekea timeline pamoja na CNN text! How come unaita ni udaku wa mitandaoni?

Man, I know what am doing na ndio maana niliweka Instagram account ya Rasheed peke yake kwa sababu ipo verified!!

Sasa watu kama nyinyi ndio wale wanaookoteza habari instagram bila kufahamu account zingine ni fake!!

By the way, weka hapa hizo isntagram account zao unazosema!!!

In short hujui lolote kuhusu watoto wa Muhammad Ali!!

You probably refer to Laila kwa sababu ndie maarufu zaidi kulinganisha na wengine nae ni Orthodox!!

Awali nilikustahi kukuambia acha uongo... hivi sasa nakuambia rasmi; ACHA UONGO NA KUDANGANYA WATU!!
 
Back
Top Bottom