Mike Tyson Vs. Bruce Lee: Nani ni mbabe?

Mike Tyson Vs. Bruce Lee: Nani ni mbabe?

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Hawa viumbe kila mmoja alikuwa Bingwa kwa Ulingo wake, Mike tyson alisumbua ulingo wa boxing na kujizolea umaarufu kwa kushinda mechi 50 (KO 44). Bruce Lee alisumbua ulingo wa martial arts, alikuwa na speed na uwezo wa kupiga ngumi 9 kwa sekunde 1.

Tyson ana kilo 100 na Bruce alikuwa na kilo 64
Bruce alikuwa na speed na technique kuliko tyson ila Tyson pia nayeye alikuwa na uwezo wa kushusha ngumi yenye kilo 450.

Hawa jamaa wangekutanishwa nani angekaa?
 

Attachments

  • Ty.jpg
    Ty.jpg
    8.9 KB · Views: 22
  • Untitled-1(53)-Recovered-Recovered(12).jpg
    Untitled-1(53)-Recovered-Recovered(12).jpg
    23 KB · Views: 23
Bruce Lee atarusha ngumi nyingi sana
Lakin akipokea moja tu eneo lolote lile kutoka kwa mike Tyson. Onesho ndio litakua limefika mwisho

Refer Tyson vs don yen, ip man 3
Japokua ni movie lakini unaona kabisa how heavyweight destroy martial arts
 
Bruce Lee atarusha ngumi nyingi sana
Lakin akipokea moja tu eneo lolote lile kutoka kwa mike Tyson. Onesho ndio litakua limefika mwisho

Refer Tyson vs don yen, ip man 3
Japokua ni movie lakini unaona kabisa how heavyweight destroy martial arts
Ilikuwa hatari sana.Ngumi nzito ikitua kunako kwisha habari.
 
😀 Nani rungu na nani missile launcher??
Rungu ni huyo mvuta ganja

China imetangazwa na bruce lee kwa asilimia kubwa

Anachokifanya tyson sidhani kama alikifikia hata nusu ya mohamed ali

Ila bruce lee mpaka leo record yake ni unbreakable na kila mtu katika martial arts ana ndoto za kuja kuwa kama yeye

Namkubali tyson ila sio kwa kumfananisha na bruce lee
 
steven seagal hakuna muvi aliwahi kupigwa,
lakini kuna muvi moja inaitwa CHINESE SALESMAN angalia alivyochapwa na mike tyson hadi akazima
 
Rungu ni huyo mvuta ganja

China imetangazwa na bruce lee kwa asilimia kubwa

Anachokifanya tyson sidhani kama alikifikia hata nusu ya mohamed ali

Ila bruce lee mpaka leo record yake ni unbreakable na kila mtu katika martial arts ana ndoto za kuja kuwa kama yeye

Namkubali tyson ila sio kwa kumfananisha na bruce lee
Lakini mkuu weight ina mchango mkubwa sana kwenye ngumi...Hujawahi kuona mtu anaongoza kwenye daraja lake la uzito ila anapigwa na mtu wa mwisho kwenye daraja la uzito juu yake
 
Bruce Lee atarusha ngumi nyingi sana
Lakin akipokea moja tu eneo lolote lile kutoka kwa mike Tyson. Onesho ndio litakua limefika mwisho

Refer Tyson vs don yen, ip man 3
Japokua ni movie lakini unaona kabisa how heavyweight destroy martial arts
lakini Bruce usimchukulie poa nayeye inasemekana alikuwa na punch kama ya Muhamad Ali....Aliwahi kupiga teke zile sandbag yenye kilo 45 akapasua.
Halafu teke lenyewe ni lile la pembeni (Sidekick) ambalo ni teke dhaifu kuliko mateke yote.

Kumbuka Tyson hajui kutumia mateke
 
Hawa viumbe kila mmoja alikuwa Bingwa kwa Ulingo wake, Mike tyson alisumbua ulingo wa boxing na kujizolea umaarufu kwa kushinda mechi 50 (KO 44). Bruce Lee alisumbua ulingo wa martial arts, alikuwa na speed na uwezo wa kupiga ngumi 9 kwa sekunde 1.

Tyson ana kilo 100 na Bruce alikuwa na kilo 64
Bruce alikuwa na speed na technique kuliko tyson ila Tyson pia nayeye alikuwa na uwezo wa kushusha ngumi yenye kilo 450.

Hawa jamaa wangekutanishwa nani angekaa?
Mhh kilo 450🤔🤔
 
Labda humjui vizuri Bruce Lee sifa zake ambazo hakuna Mwanadamu aliyenazo.. pita hapo
 
Lakini mkuu weight ina mchango mkubwa sana kwenye ngumi...Hujawahi kuona mtu anaongoza kwenye daraja lake la uzito ila anapigwa na mtu wa mwisho kwenye daraja la uzito juu yake
Weight ina mchango kwenye ngumi zenye limitation za matumizi ya mikono pekee yake

Bruce lee alikuwa mwepesi halafu yuko fasta yani kwa mtu mzito ambaye anatumia nguvu kubwa kurusha ngumi, bruce lee anaweza asilushe ngumi hata moja na akashinda pambano kwa kumchosha mpinzani kwa kukwepa tu zile punch
 
Back
Top Bottom