Mike Tyson Vs. Bruce Lee: Nani ni mbabe?

Mike Tyson Vs. Bruce Lee: Nani ni mbabe?

Kwanza, Boxing pia ni Martial Arts hilo lieleweke.

Pili, ni ngumu sana mtu wa boxing mwenye experience kupigwa na fighter mwenye experience ya martial arts aina zingine.
 
Rungu ni huyo mvuta ganja

China imetangazwa na bruce lee kwa asilimia kubwa

Anachokifanya tyson sidhani kama alikifikia hata nusu ya mohamed ali

Ila bruce lee mpaka leo record yake ni unbreakable na kila mtu katika martial arts ana ndoto za kuja kuwa kama yeye

Namkubali tyson ila sio kwa kumfananisha na bruce lee
Hivi Bruce lee ni mchina au ni mmarekani?

Huwa najua alizaliwa Marekani.
 
Hawa viumbe kila mmoja alikuwa Bingwa kwa Ulingo wake, Mike tyson alisumbua ulingo wa boxing na kujizolea umaarufu kwa kushinda mechi 50 (KO 44). Bruce Lee alisumbua ulingo wa martial arts, alikuwa na speed na uwezo wa kupiga ngumi 9 kwa sekunde 1.

Tyson ana kilo 100 na Bruce alikuwa na kilo 64
Bruce alikuwa na speed na technique kuliko tyson ila Tyson pia nayeye alikuwa na uwezo wa kushusha ngumi yenye kilo 450.

Hawa jamaa wangekutanishwa nani angekaa?
Mbona rekodi ya Bruce Lee hujaweka? Alipigana mapambano mangapi na alishinda mangapi?
 
lakini Bruce usimchukulie poa nayeye inasemekana alikuwa na punch kama ya Muhamad Ali....Aliwahi kupiga teke zile sandbag yenye kilo 45 akapasua.
Halafu teke lenyewe ni lile la pembeni (Sidekick) ambalo ni teke dhaifu kuliko mateke yote.

Kumbuka Tyson hajui kutumia mateke

Wee jamaa muongo sana.
Sidekick ndiyo teke strong bana acha kudanganya
 
Upo sahihi. Kalizaliwa California. Chinese Hospital, alikufa Hong Kong.

Ni Kachina kajamaa.
Bruce lee alizaliwa China, alienda Marekani akiwa mdogo na wazazi wake. Alirudi China akiwa mkubwa,
 
Tyson namkubali sana lakini kwa Bruce Lee hapana ataishia kung'ata meno tu.Bruce Lee ni mkali.
 
Bruce lee alizaliwa China, alienda Marekani akiwa mdogo na wazazi wake. Alirudi China akiwa mkubwa,
Side kick haina nguvu mkuu teke lenye nguvu ni axe,
Si muwe hata mnajifunza self defense kwenye vichochoro huko kuna watu sana idea aisee.
 
Mwili wa bruce ukiuona ni mwili unaoweza vumilia pigo la uzito wengi huwajui hata mtu akiwa mwembamba ana uwezo wa kuvumilia pigo zito sababu ya ukomavu wake...
 
Bruce lee alizaliwa China, alienda Marekani akiwa mdogo na wazazi wake. Alirudi China akiwa mkubwa,
Hapana bro.

8353A7D6-99A8-4506-9F44-1B3A655D135E.jpeg
 
Lakini mkuu weight ina mchango mkubwa sana kwenye ngumi...Hujawahi kuona mtu anaongoza kwenye daraja lake la uzito ila anapigwa na mtu wa mwisho kwenye daraja la uzito juu yake
Kwenye martial arts uzito doesn't matter.,

Kama mtu anashika panga na anapigwa kama mtoto itakuwa ashinde pambano kwa uzito wake.?
 
Kwenye martial arts uzito doesn't matter.,

Kama mtu anashika panga na anapigwa kama mtoto itakuwa ashinde pambano kwa uzito wake.?
Kwahyo wanapoweka madaraja ya uzito (weight
class) Hawana akili?
 
Back
Top Bottom