Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

Ushatapeliwa nini? Mana kuna wale tuma na yakutolea
 
Batch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
 
Batch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
Hongera sana
 
Batch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] connection Kama izo Ni utaperi mtupu, walikuwa wafanyakazi wa TRA
 
Hapo Hamna hizo ajira serikali inabana matumizi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…