Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )

. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..

Hizo vipi nimepata ???
Vietnam [emoji3]
 
Ukienda na dhana ya "watu wanabebwa au kupeana kazi" hakika lazma ufeli. Kama umebahatika kuitwa kwenye interview wew nenda kapige KAZI , ukiwa kwenye written kuwa na kitu inaitwa SPEED & ACCURACY pia acha story kwenye answers jibu ulichoulizwa na ukibahatika kwenda Oral usisahau SHORT & CLEAR achana na narration yaaan lenga kwenye POINT moja kwa moja. All the best
 
Kumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke 😁😁
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
 
Kumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke 😁😁
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Umeongea ukweli mkuu
Huna baya na mtu.
Imani tu ndio itaponya
 
Kumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke [emoji16][emoji16]
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Ukweli mtupu
 
Utapigwaje kiboyahivyo.

Sasa hivi kumebanwa hakuna mtu anayeweza kumpa mtu kazi. Ma spy kibao hata waziri hawezi.

Labda utie hela upewe written interview ila sio kazi.

Chukua hii for next time
Yaani kupata pepa ni possible?
 
Kumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke [emoji16][emoji16]
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Heshima yako
 
Hii tume inajipoteza heshima yake sasa why wanakuwa hivi siku hizi?
Kuna kitu hakipo sawa mahali inabidi mabadiliko makubwa yafanyike kwenye hii tume watoto wa maskini wanateseka bila sababu.
Ukweli Mchungu ni kwamba nafasi zinazotolewa na serikali kupitia utumishi ni chache kulinganisha na waombaji, generally kila mtu ana fit-in hizi interview ni sehemu tu ya kupunguza watu.
 
Back
Top Bottom