Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

Mimi wameniandikia Sija attach cheti Cha form six (niliattach) ikabidi nirudi kuhakiki Tena nikakuta niliweka vyeti vyote na nikaki Download ni chenyewe
Nimeamua kuomba kufanya kazi za NGO's sitoomba kamwe kazi serikalini,Wana uhuni sana
Daaah..! Ina huzunisha sana mkuu hali kama hii kutokea.
 
Mimi wameniandikia Sija attach cheti Cha form six (niliattach) ikabidi nirudi kuhakiki Tena nikakuta niliweka vyeti vyote na nikaki Download ni chenyewe
Nimeamua kuomba kufanya kazi za NGO's sitoomba kamwe kazi serikalini,Wana uhuni sana
Ukicomplain watakuweka katika majina ya nyongeza wala usikate tamaa, wasiliana kwenye namba au email yao
 
Explain why there's huge cargo in Bangkok ports over Dar es Salaam ports
.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )

. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..

Hizo vipi nimepata ???
 
.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )

. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..

Hizo vipi nimepata ???
Una degree level au Certificate level??
 
Operation officer TPA wanahitaji 10 ila list ni ndefu walioitwa kwenye interview ni zaidi ya 6000. Ukipiga probality ya kuitwa hapo kama mtu kafanya interview ni 0.0016667 ni sawa na 0.1666667% [emoji23][emoji23] [emoji26]
 
.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )

. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..

Hizo vipi nimepata ???
Usisahau pia na forced labour na land alienation mkuu.
 
Batch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
Utapigwaje kiboyahivyo.

Sasa hivi kumebanwa hakuna mtu anayeweza kumpa mtu kazi. Ma spy kibao hata waziri hawezi.

Labda utie hela upewe written interview ila sio kazi.

Chukua hii for next time
 
Mimi wameniandikia Sija attach cheti Cha form six (niliattach) ikabidi nirudi kuhakiki Tena nikakuta niliweka vyeti vyote na nikaki Download ni chenyewe
Nimeamua kuomba kufanya kazi za NGO's sitoomba kamwe kazi serikalini,Wana uhuni sana

Daah mm barua nimesaini kabisa lakini wanasema sijasaini
 
Explain why there's huge cargo in Bangkok ports over Dar es Salaam ports
.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )

. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..

Hizo vipi nimepata ???
Sana sana

1.High handling capacity to accumulate huge cargo ,the port accupies over a large space sijui hekari ngapi utajua chumba Cha paper
2. availability of many ICDs to reduce congestion in the main port
3. Cheapest Port charges on provisional of services ukilinganisha na dar es salamaa
4.efficiency of cargo handling example use of automation in cargo loading and unloading ,other tools of high capacity like cranes
5.Geoghaphical location helps on cargo accumulation and re-distribution to neighbor's countries utatoa mfano angalia kwenye raman
 
Hii tume inajipoteza heshima yake sasa why wanakuwa hivi siku hizi?
Kuna kitu hakipo sawa mahali inabidi mabadiliko makubwa yafanyike kwenye hii tume watoto wa maskini wanateseka bila sababu.
 
Back
Top Bottom