Mikel Arteta anaenda kuwa kocha bora wa nyakati zote. Arsenal imekuwa moto wa kuotea mbali

Mikel Arteta anaenda kuwa kocha bora wa nyakati zote. Arsenal imekuwa moto wa kuotea mbali

Ni jambo lisilifichika.

Arsenal wame improve sana with and without the ball hili limewasaidia kupata 12 points wakiwa na 100% win.

Jambo moja naliona kwa Arsenal watatumia energy kubwa na ari kubwa kama ya kumalizia ligi wakati ndio kwanza mechi nne.
Epl is a long race vs 4-6 giants.

Arsenal haina seniority and maturity. Ninaweza kuamini, Arsenal awe hivi hivi kisha city na liverpool wawe na full squad ndipo lack ya seniorty and maturity itaonekana.

Cudos kwa Arteta amejitahidi mpaka hapa kutengeneza timu nzuri ya vijana wenye ari.
 
1993/1994
screenshot_20220828-183951-jpg.2337641

View attachment 2337643

Record zinakataa labda Uefa ya mwembechai.
 
Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.

Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.

Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Kwa heshima niliyo nayo kwako naomba nirudi kucomment hapa kabla ya likizo ya world cup
 
Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.

Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.

Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Ulipuyanga
 
Back
Top Bottom