Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
mara nyingi wasiojua na wasio na akili ndio wanajiona wana akili na wanajua, pole sanaHivi kunawajinga kama mateka wa mzee Mbowe hapa nchini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mara nyingi wasiojua na wasio na akili ndio wanajiona wana akili na wanajua, pole sanaHivi kunawajinga kama mateka wa mzee Mbowe hapa nchini?
Sasa kama Uchambuzi sio rasmi unatuletea wa nini?Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Facts ndio hizo based kwenye per Capita income.Sasa kama Uchambuzi sio rasmi unatuletea wa nini?
Tafuta Facts utuwekee hapa
Kama mfanyabiashara ujue umefeli. Wenzako wapo vijijini huko wanauza nguo na vyombo kwa watu wenye per capita kubwa.Kama kipato chako ni kikubwa au kidogo, hizo takwimu hazisaidii chochote na hazibadirishi maisha ya mtu mmoja mmoja.
Masikini kipato chake unakipima je? Haweki pesa bank, Njia zake za kipato hazieleweki, na hata ujira aupatao hauko documented kama vile salary slip, na hawana kazi maalumu.Kama mfanyabiashara ujue umefeli. Wenzako wapo vijijini huko wanauza nguo na vyombo kwa watu wenye per capita kubwa.
Sio vijiji vyote. Tembelea hiyo mikoa yenye per capita kubwa ukashangae mkulima ana mende 10 na ana v8.Masikini kipato chake unakipima je? Haweki pesa bank, Njia zake za kipato hazieleweki, na hata ujira aupatao hauko documented kama vile salary slip, na hawana kazi maalumu.
Kilimo chao ni cha jembe la mkono, mbegu za kienyeji, mazao mseto shambani, eneo la kilimo halijulikani vipimo vyake kama ni heka au nusu heka, na hata uvuvi wao wa kubahatisha kwa zana za kienyeji, mauzo ya mazao yao ya kienyeji hakuna vipimo, na hata wanunuzi hawatoi receipt.
Takwimu nyingi mnakadiria tu hazina uhalisia wowote na hii nchi yetu ya wadanganyika. takwimu nzuuri lakini source haijulikani, mi number tu.
Utajiri na umasikini Tanzania ni mafikirio yenu tu.
Hadi Ruvuma???daah ,eti Ruvuma iipite mwanza!!Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Unadhani Ruvuma ni sawa na huko Uswazi kwenu?Hadi Ruvuma???daah ,eti Ruvuma iipite mwanza!!
Unadhani kina Wasafi walienda kutafuta nini?Kumbe mbeya kuna pesa
Ndio umaskini wenyewe huo sasaMasikini kipato chake unakipima je? Haweki pesa bank, Njia zake za kipato hazieleweki, na hata ujira aupatao hauko documented kama vile salary slip, na hawana kazi maalumu.
Kilimo chao ni cha jembe la mkono, mbegu za kienyeji, mazao mseto shambani, eneo la kilimo halijulikani vipimo vyake kama ni heka au nusu heka, na hata uvuvi wao wa kubahatisha kwa zana za kienyeji, mauzo ya mazao yao ya kienyeji hakuna vipimo, na hata wanunuzi hawatoi receipt.
Takwimu nyingi mnakadiria tu hazina uhalisia wowote na hii nchi yetu ya wadanganyika. takwimu nzuuri lakini source haijulikani, mi number tu.
Utajiri na umasikini Tanzania ni mafikirio yenu tu.
Kiliammanjaro ingekuwa ya Pili baada ya Dar sema tu "wapare wamechukua tabia za wasambaa, Mashamba hawalimi, wanauza samaki na korosho kwene mabasi huku wakitegemea TASAF"Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Ndio sio ya pili Sasa na hakuna namna tena itakuja kuwa ya pili maana hakuna ardhi zaidi ya makaburi.Kiliammanjaro ingekuwa ya Pili baada ya Dar sema tu "wapare wamechukua tabia za wasambaa, Mashamba hawalimi, wanauza samaki na korosho kwene mabasi huku wakitegemea TASAF"
💰💰💰Unadhani kina Wasafi walienda kutafuta nini?
Unajitoa ufahamu,mbona husemi kwamba ilipuuzwa miaka Mingi na Gvt?Dodoma Yako kama ililaaniwaga😀
No.6 RuvumaUnajitoa ufahamu,mbona husemi kwamba ilipuuzwa miaka Mingi na Gvt?
Mwanza ilikuwa huko ila imetoka so hata Dom haifiki 2030 itakuwa ime graduate .
Mwisho Arusha umeiona ? 😆😆😆😆