Mikoa 10 ya Tanzania ambayo Wakazi wake wana Maendeleo na Kipato kikubwa

Mikoa 10 ya Tanzania ambayo Wakazi wake wana Maendeleo na Kipato kikubwa

Simjui huyo, lakini nadhani hata katika taarifa hiyo hiyo bado ina makosa. Una uhakika kwamba ni "Rais wa mpito" na siyo "Waziri Mkuu wa Mpito"?
Ngoja nitazame kama habari yako hii ni ya kweli!

Kwanza wala siyo 'Yusuf', hilo jina wewe umelipata wapi?
Hiyo hiyo PM wa Mpito,google utamjua tuu
 
Hiyo hiyo PM wa Mpito,google utamjua tuu
Unaona sasa?
Huwa mara nyingi napoteza 'interest' na subira na watu wa aina yako haraka sana. Hizi tabia za ubabaishaji ndizo mmezijaza huko kwnye chama na sasa hadi serikalini.
Hovyo kabisa.
 
Unaona sasa?
Huwa mara nyingi napoteza 'interest' na subira na watu wa aina yako haraka sana. Hizi tabia za ubabaishaji ndizo mmezijaza huko kwnye chama na sasa hadi serikalini.
Hovyo kabisa.
Jikite kwenye hoja
 
ChoiceVariable Arusha mjini na Wilaya ya Meru ndio ina mazingira rafiki ardhi nzuri na mvua ya kutosha lakin wilaya zingine ni kama na wanakaa wafugaji na hawaja utilize mifugo. Tunaishi na ng'ombe badala ya kufuga ng'ombe no wonder kimapato tuko nyuma siku tuligeuza ng'ombe kuwa pesa tutakuwa no1
 
Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.

Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).

Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;

1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2

My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.

2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234


Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi

Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Nimekaa Mikoa ya Kusini kwa muda mrefu. Kilichowainua karibuni ni upendeleo wa wazi wa serikali ktk mikoa hiyo na siyo ushindani wa wenyeji wake Kimikoa kujiletea maendeleo. Tuwe wakweli.
 
Nimekaa Mikoa ya Kusini kwa muda mrefu. Kilichowainua karibuni ni upendeleo wa wazi wa serikali ktk mikoa hiyo na siyo ushindani wa wenyeji wake Kimikoa kujiletea maendeleo. Tuwe wakweli.
Upendeleo wa kiaje?
 
Hoja gani toka kwa mtu asiye na ufahamu juu ya anacho zungumzia? Unacho fanya humu wewe ni kuokota tu taarifa ambazo huzielewi vizuri na kuziletta hapa kujionyesha unao ujuzi juu yake.
Jadili hoja badala ya Kuni analyse Mimi.
 
Jadili hoja badala ya Kuni analyse Mimi.
Nikiona hoja halisi, nitazijadili, na hoja hafifu/batili nitazieleza kama zilivyo. Mara nyingi unakuja humu na hoja batili, na kama ni hoja halisi unaweka tafsiri iliyo batili. Hilo ndilo ninalokueleza mara nyingi, hata kama hupendi kusikia.
 
Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.

Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).

Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;

1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2

My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.

2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234


Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi

Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

Kama Dodoma haipo, hiyo orodha siyo sahihi.
 
Back
Top Bottom