Mikoa 10 ya Tanzania ambayo Wakazi wake wana Maendeleo na Kipato kikubwa

Kama kipato chako ni kikubwa au kidogo, hizo takwimu hazisaidii chochote na hazibadirishi maisha ya mtu mmoja mmoja.
 
Sasa kama Uchambuzi sio rasmi unatuletea wa nini?

Tafuta Facts utuwekee hapa
 
Sasa kama Uchambuzi sio rasmi unatuletea wa nini?

Tafuta Facts utuwekee hapa
Facts ndio hizo based kwenye per Capita income.

Naitwa facts Kwa sababu sina kibali Cha kutoa taarifa rasmi.
 
Kama kipato chako ni kikubwa au kidogo, hizo takwimu hazisaidii chochote na hazibadirishi maisha ya mtu mmoja mmoja.
Kama mfanyabiashara ujue umefeli. Wenzako wapo vijijini huko wanauza nguo na vyombo kwa watu wenye per capita kubwa.
 
Kama mfanyabiashara ujue umefeli. Wenzako wapo vijijini huko wanauza nguo na vyombo kwa watu wenye per capita kubwa.
Masikini kipato chake unakipima je? Haweki pesa bank, Njia zake za kipato hazieleweki, na hata ujira aupatao hauko documented kama vile salary slip, na hawana kazi maalumu.

Kilimo chao ni cha jembe la mkono, mbegu za kienyeji, mazao mseto shambani, eneo la kilimo halijulikani vipimo vyake kama ni heka au nusu heka, na hata uvuvi wao wa kubahatisha kwa zana za kienyeji, mauzo ya mazao yao ya kienyeji hakuna vipimo, na hata wanunuzi hawatoi receipt.

Takwimu nyingi mnakadiria tu hazina uhalisia wowote na hii nchi yetu ya wadanganyika. takwimu nzuuri lakini source haijulikani, mi number tu.

Utajiri na umasikini Tanzania ni mafikirio yenu tu.
 
Sio vijiji vyote. Tembelea hiyo mikoa yenye per capita kubwa ukashangae mkulima ana mende 10 na ana v8.
 
Hadi Ruvuma???daah ,eti Ruvuma iipite mwanza!!
 
Ndio umaskini wenyewe huo sasa
 
Kiliammanjaro ingekuwa ya Pili baada ya Dar sema tu "wapare wamechukua tabia za wasambaa, Mashamba hawalimi, wanauza samaki na korosho kwene mabasi huku wakitegemea TASAF"
 
Kiliammanjaro ingekuwa ya Pili baada ya Dar sema tu "wapare wamechukua tabia za wasambaa, Mashamba hawalimi, wanauza samaki na korosho kwene mabasi huku wakitegemea TASAF"
Ndio sio ya pili Sasa na hakuna namna tena itakuja kuwa ya pili maana hakuna ardhi zaidi ya makaburi.
 
Dodoma Yako kama ililaaniwaga😀
Unajitoa ufahamu,mbona husemi kwamba ilipuuzwa miaka Mingi na Gvt?

Mwanza ilikuwa huko ila imetoka so hata Dom haifiki 2030 itakuwa ime graduate .

Mwisho Arusha umeiona ? 😆😆😆😆
 
Unajitoa ufahamu,mbona husemi kwamba ilipuuzwa miaka Mingi na Gvt?

Mwanza ilikuwa huko ila imetoka so hata Dom haifiki 2030 itakuwa ime graduate .

Mwisho Arusha umeiona ? 😆😆😆😆
No.6 Ruvuma
No.7 Arusha
Alafu ukumbuke sisi ni wale wamangati na wahadzabe wale bado wanaish porini ndio wanatuangushaga lakin bado tupo top 10

Sasa nyie dodoma pamoja na bunge, mawazir had ikulu mnashika mkia vngekua havipo je😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…