Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji.

View: https://www.instagram.com/p/DHI7fgJoeJt/?igsh=dmVkMTFyN3V4aHJy

Pia soma Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
Screenshot_20240803-151601.jpg


Soma zaidi hapa Mikoa 10 ya Tanzania Ambayo Wakazi Wake Wana Maendeleo na Kipato Kikubwa.

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
 

Attachments

Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji. Pia soma Hii hapa mikoa 12 inayoendesha uchumi wa nchi, inamiliki na kushikilia asilimia 70% ya uchumi wa Tanzania
View attachment 3060995

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
CCM
 
Huu mkoa wa Kagera si inasemekana una wasomi wengi sana tena maprofesa?

Namna gani tena pale Ishomile wapo top 3 ya mikoa masikini zaidi Tz
Tatizo hawa shemeji zangu wakishaondoka kwao huwa hawaangalii nyuma, ukiwaona wanaenda Kagera ujue wanaenda kuzika.
Kwa maana nyingine Wameifanya Kagera ni makaburini.

Badilikeni 'wahaiya' igeni kwa watu wa Kilimanjaro....tafsiri ya kwanza ya mafanikio kwa mchagga ni kuendeleza alikozaliwa.
 
Wasomi hawa return input or uwekezaji walipotoka. Wakishasoma sana either waamie miji mikubwa tz, or wahamie nchi za nje na wakanyage kwenye misiba tu
Kagera kwenye top 5 ya mikoa masikini mpo na Simiyu, Dodoma, Singida na Pwani

Kwa hiyo na hiyo mikoa wamesoma sana wamehamia miji mginie mikubwa Tanzania au nchi za nje?

Si ndio?

Unajustify ujinga wapambane kutokomeza umasikini
 
Kagera kwenye top 5mko na Simiyu, Dodoma, Singida na Pwani

Kwa hiyo na hiyo mikoa ya masikini wenzenu wamesoma sana wamehamia miji mginie mikubwa Tanzania au nchi za nje?

Si ndio?

Unajustify ujinga wapambane kutokomeza umasikini
First of all si mtu wa huko lakin nimewahi kufanya kazi huko at one time. Hiyo case ya kagera tu, mikoa mingine ina different factors

Is not an excuse it is a reality, jamii ambayo inajivunia mafanikio lakin mafanikio hayo wame invest kwenye mikoa mingine na si kwao… lazima nyumbani padode period
 
jamii ambayo inajivunia mafanikio lakin mafanikio hayo wame invest kwenye mikoa mingine na si kwao… lazima nyumbani padode period
Hapo sasa umeongea wajifunze kutoka kwa makabila mengine

Kusema kusoma sana kumewafanya wawe nje ya mkoa au nchi hivyo wanashindwa kupaendeleza kwao ilikuwa hoja dhaifu sana, uliyumba
 
Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji. Pia soma hapa Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
View attachment 3060995

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
Bukoba uvivu na ujinga vimetamalaki.
 
Back
Top Bottom