Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.
Unaongelea umasikini kwa ku base kwenye pato la kila mtu bila kuangalia gharama za maisha na matumizi husika ya sehemu husika ?!!!

Hivi hata tunajua maana ya umasikini ? Unaongelea mtu wa Kagera halipi kodi ya nyumba, chakula anatoa shambani na hata elfu kumi ya kunywa konyagi hamalizi starehe yake kwenda kwenye ngoma ni bure....

Alafu homeless yupo Dar hajui hata kama atapata milo mitatu anajiona ni tajiri kwa kutokana na kwamba mkoa huo una viwanda au wazalishaji ingawa pesa hiyo haimsaidii huyu jamaa zaidi ya polution na kuchafuliwa hewa...

Nauliza tena hivi tunajua hata maana ya umasikini au ndio yale sababu kuna namba E nyingi mtaani tunaona tumeendelea kama jamii ?
 
Dodoma kwa sehemu kubwa hata kufika hapo waishukuru Serikali. Dodoma haina viwanda kwa sehemu kubwa inategemea Bunge na vyuo na uwepo wa Serikali
Hawana chanzo kikuu cha uchumi wao wamebakiza kuuza Dompo tu, na kujisifu kwenye utengenezaji wa wine, bila kujua wanatakiwa kuweka nguvu kwenye kilimo, madini, na uzalishaji mwingine pia fursa za kibiashara zinatakiwa kuongezeka waongeze pia viwanda na watu wao waongeze kuchapa kazi... Wagogo ni wavivu na maskini by nature.
 
Unaongelea umasikini kwa ku base kwenye pato la kila mtu bila kuangalia gharama za maisha na matumizi husika ya sehemu husika ?!!!

Hivi hata tunajua maana ya umasikini ? Unaongelea mtu wa Kagera halipi kodi ya nyumba, chakula anatoa shambani na hata elfu kumi ya kunywa konyagi hamalizi starehe yake kwenda kwenye ngoma ni bure....

Alafu homeless yupo Dar hajui hata kama atapata milo mitatu anajiona ni tajiri kwa kutokana na kwamba mkoa huo una viwanda au wazalishaji ingawa pesa hiyo haimsaidii huyu jamaa zaidi ya polution na kuchafuliwa hewa...

Nauliza tena hivi tunajua hata maana ya umasikini au ndio yale sababu kuna namba E nyingi mtaani tunaona tumeendelea kama jamii ?
Kagera imejaa umaskini na per Capita income ndio indicator kuu, mengine unajifariji tuu 😁😁
 
Kagera imejaa umaskini na per Capita income ndio indicator kuu, mengine unajifariji tuu 😁😁
Unaongelea income bila kuangalia expenditures ? In short you are missing the whole picture...

Tanzania imejaa masikini watu hawana ujira and they can not afford their basic needs (chakula, malazi na mavazi) na kwa taarifa yako angalau hio mikoa uliyosema watu wengi sio homeless tofauti na huko pengine ambapo wanasiasa wanacook data kwamba wapo vizuri kumbe ni mafukara tu ambao ambao wanaishi kwenye slums na kuvuta polluted air...

Its like putting lipstick on a pig....
 
Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji. Pia soma hapa Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
View attachment 3060995

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji. Pia soma hapa Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
View attachment 3060995

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.

Kwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.

Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.

Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.

Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population

Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.

Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)

1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5

My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji. Pia soma hapa Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
View attachment 3060995

Angalizo
•Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.

•Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
Una matatizo ya akili wewe sio bure maana huna kipya kwenye jf zaidi ya kulinganisha mikoa kiufupi umefirisika kiakili au una stress. Kwa hiyo unataka kusema madini kwenye mikoa ya Shinyanga, geita na mara ndo utajiri wa wananchi?? Umezunguka kwenye hiyo mikoa kuona wanavyochangia maji ya kunywa na ng'ombe, mbuzi na punda?? Uko nyuma ya keyboard unaandika uharo tupu. Kabla ya kubwabwaja huu upuuzi wako ungetaja na source ya huo utajiri kwa kila mkoa tuone kama una impact kwa majority ya watu wa eneo husika.
 
Una matatizo ya akili wewe sio bure maana huna kipya kwenye jf zaidi ya kulinganisha mikoa kiufupi umefirisika kiakili au una stress. Kwa hiyo unataka kusema madini kwenye mikoa ya Shinyanga, geita na mara ndo utajiri wa wananchi?? Umezunguka kwenye hiyo mikoa kuona wanavyochangia maji ya kunywa na ng'ombe, mbuzi na punda?? Uko nyuma ya keyboard unaandika uharo tupu. Kabla ya kubwabwaja huu upuuzi wako ungetaja na source ya huo utajiri kwa kila mkoa tuone kama una impact kwa majority ya watu wa eneo husika.
📌📌📌🔨 😁😁🤪🤪 Pole vumilia hivyo
 
Unaongelea income bila kuangalia expenditures ? In short you are missing the whole picture...

Tanzania imejaa masikini watu hawana ujira and they can not afford their basic needs (chakula, malazi na mavazi) na kwa taarifa yako angalau hio mikoa uliyosema watu sio wengi sio homeless tofauti huko na huko pengine ambapo wanasiasa wanacook data kwamba wapo vizuri kumbe ni mafukara tu living in slums...

Its like putting lipstick on a pig....
Pole sana Kwa Kagera kuwa maskini,acheni mental slavery ya vyeti anzeni kufanya kazi kama wenzenu.
 
Unaongelea income bila kuangalia expenditures ? In short you are missing the whole picture...

Tanzania imejaa masikini watu hawana ujira and they can not afford their basic needs (chakula, malazi na mavazi) na kwa taarifa yako angalau hio mikoa uliyosema watu sio wengi sio homeless tofauti huko na huko pengine ambapo wanasiasa wanacook data kwamba wapo vizuri kumbe ni mafukara tu living in slums...

Its like putting lipstick on a pig....
Pole sana Kwa Kagera kuwa maskini,acheni mental slavery ya vyeti anzeni kufanya kazi kama wenzenu.

Muda na Nguvu unayotumia kutoa povu hapa ungeitumia kuweka mikakati na kufanya kazi Ili meiendelee kuwa maskini 😃😃
 
Back
Top Bottom