Mikoa 5 Tajiri Tanzania na Mikoa 5 maskini zaidi Tanzania 2020

Mikoa 5 Tajiri Tanzania na Mikoa 5 maskini zaidi Tanzania 2020

Nadhani walichozingatia hapo ni hali kibiashara na mzunguko wa fedha kwenye mikoa tajwa.......kuwa kwenye mzunguko mkubwa wa fedha ni jambo la kwanza na kuzitumia hizo pesa kuboresha maisha yako ni jambo la pili......

Ni kama ofisini ambapo Kuna mtu analipwa 400,000/= lakini anazitumia vyema kujiboreshea maisha yake kuliko hata yule anayelipwa milioni lakini ukitazama kipato utamuona huyo mwenye milioni yupo juu......

Mikoa iliyo kwenye top five ina shughuli nyingi sana za kiuchumi, kipimo , biashara na viwanda kama ulishawahi kufika maeneo hayo utakuwa shahidi katika hili.........

Pamoja kujishughulisha na yote lakini wameshindwa kuboresha standard za maisha yao.......

Kiujumla Ukiacha Dar es salaam hakuna mkoa unaoifikia Kilimanjaro kwa standard ya maisha.......maana yake Wana Kilimanjaro wametumia vyema rasilimali zao kujiboreshea maisha yao......
Ni ya pili kwa maisha bora ukiachana na dar life yao iko wastani kilimanjaro hakuna maskini wa kutupa hapo ndo inapopiga gap chuga maana yake chuga wanafaika ni wachache sana ila wanadanganywa na mahoteli tu ila kwa mtu kama mtu ni hali mbaya

Kilimanjaro wanaishi vizuri kuona waokota makopo tu ni nadra usafi kila kona
 
Nadhani walichozingatia hapo ni hali kibiashara na mzunguko wa fedha kwenye mikoa tajwa.......kuwa kwenye mzunguko mkubwa wa fedha ni jambo la kwanza na kuzitumia hizo pesa kuboresha maisha yako ni jambo la pili......

Ni kama ofisini ambapo Kuna mtu analipwa 400,000/= lakini anazitumia vyema kujiboreshea maisha yake kuliko hata yule anayelipwa milioni lakini ukitazama kipato utamuona huyo mwenye milioni yupo juu......

Mikoa iliyo kwenye top five ina shughuli nyingi sana za kiuchumi, kipimo , biashara na viwanda kama ulishawahi kufika maeneo hayo utakuwa shahidi katika hili.........

Pamoja kujishughulisha na yote lakini wameshindwa kuboresha standard za maisha yao.......

Kiujumla Ukiacha Dar es salaam hakuna mkoa unaoifikia Kilimanjaro kwa standard ya maisha.......maana yake Wana Kilimanjaro wametumia vyema rasilimali zao kujiboreshea maisha yao......

Amen. Kilimanjaro wanajua vyema kilicho waleta Duniani. luambo makiadi
 
Ahsante kwa taarifa mtoa mada,ila GDP haiusiani na standard ya maisha,Kwa mfano hali ya maisha ya watu wengi wa mbeya ni nzuri kuliko iringa ila kwenye list iringa ipo juu ya mbeya,naiishi hii mikoa miwili so naijua,mfano mwengine ukitazama GDP ya china ni kubwa kuliko ya Wingereza(UK) lakini kiuhalisia mwingereza na standard nzuri ya maisha kuliko china,pia nchi za Scandinavia raia wana maisha mazuri kuliko hizo USA, UK, China etc lakn ktk standards ni kinyume chake.Pia nashukuru kwa kuwajuza watu fursa za nyanda za juu kusini
 
Kumbe kagera wana hali mbaya kiuchumi! Wenyeji wa huko wana tambo sana
 
Siku zote mkoa wa MBEYA hujawahi kuwa chini kielimu,,,, wala kiuchumi

Swali la kujiuliza

je pamoja na MWANZA kupewa sifa Sana ........imezidiwa ,hadi na RUVUMA
 
Siku zote mkoa wa MBEYA hujawahi kuwa chini kielimu,,,, wala kiuchumi

Swali la kujiuliza

je pamoja na MWANZA kupewa sifa Sana ........imezidiwa ,hadi na RUVUMA

Watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini kwa ujumla imepiga hatua , lakini si rahisi kuona nyuzi zake humu jf au kwengineko sababu sio kipaumbele cha wanasiasa,
Ni muhimu sasa watu wachangamkie fursa huku kusini, I see a great future ahead..
 
Watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini kwa ujumla imepiga hatua , lakini si rahisi kuona nyuzi zake humu jf au kwengineko sababu sio kipaumbele cha wanasiasa,
Ni muhimu sasa watu wachangamkie fursa huku kusini, I see a great future ahead..
Kabisa mkuu
 
Nadhani walichozingatia hapo ni hali kibiashara na mzunguko wa fedha kwenye mikoa tajwa.......kuwa kwenye mzunguko mkubwa wa fedha ni jambo la kwanza na kuzitumia hizo pesa kuboresha maisha yako ni jambo la pili......

Ni kama ofisini ambapo Kuna mtu analipwa 400,000/= lakini anazitumia vyema kujiboreshea maisha yake kuliko hata yule anayelipwa milioni lakini ukitazama kipato utamuona huyo mwenye milioni yupo juu......

Mikoa iliyo kwenye top five ina shughuli nyingi sana za kiuchumi, kipimo , biashara na viwanda kama ulishawahi kufika maeneo hayo utakuwa shahidi katika hili.........

Pamoja kujishughulisha na yote lakini wameshindwa kuboresha standard za maisha yao.......

Kiujumla Ukiacha Dar es salaam hakuna mkoa unaoifikia Kilimanjaro kwa standard ya maisha.......maana yake Wana Kilimanjaro wametumia vyema rasilimali zao kujiboreshea maisha yao......
Siyo kweli
 
Hivi kumbe tofali za kuchoma ni umasikini? I see Tanzania imejaa vivutio na wewe ni kimojawapo!
Wewe hujamuelewa anachomaanisha,anategemea mkoa tajiri akija akute watu wamejenga mijengo ya kisasa yenye hadhi au nyumba zenye floor kadhaa kwenda juu kama ilivyo kwa watu wa Kagera hadi vijijini huko kuna nyumba kama za Mbezi beach japo hapa imeorodheshwa kwenye list ya mikoa maskini.
 
Iringa, Ruvuma na Mbeya mbona bado wanajenga nyumba za tofali za kuchoma katikati ya miji yao na wana hela? 🤔

Yani Mbeya town kabisa kuna nyumba za tofali za kuchoma sio za mwaka 2000 wala 2010 zinajengwa hadi kesho
Tofali zile ndogo za kuchoma ni gharama Sana kuliko block
 
Back
Top Bottom