Mikoa 5 Tajiri Tanzania na Mikoa 5 maskini zaidi Tanzania 2020

Mikoa 5 Tajiri Tanzania na Mikoa 5 maskini zaidi Tanzania 2020

Iringa imeipita Geita, mkoa wa "madhahabu?"
Wew unaijua iringa vizuri au unaisikia watu wanalima kule kama wehu na ni moja kati ya mkoa wenyewe ardhi kubwa sana Kwa ajili ya kilimo karibu Kila zao linakubali mahindi, alizeti,nyanya,vitungu,viazi,miti,chai,pareto,viazi,pia wanafuga sana Kuna wazungu wametoka marekani wamenda kuwekeza kule wanalima mahindi tu mishamba Kwa mishamba na wanauza nchi za nje na hawataki kuondoka wanaita ndugu zao Kila siku haya wa Congo wamejaa kule wanalima vitunguu swaumu wakauze kwao ishu huwezi linganisha Geita na iringa Ata kama wanachimba dhahabu yenyewe unakuta wanaofaidi ni wachache tu
 
Wew unaijua iringa vizuri au unaisikia watu wanalima kule kama wehu na ni moja kati ya mkoa wenyewe ardhi kubwa sana Kwa ajili ya kilimo karibu Kila zao linakubali mahindi, alizeti,nyanya,vitungu,viazi,miti,chai,pareto,viazi,pia wanafuga sana Kuna wazungu wametoka marekani wamenda kuwekeza kule wanalima mahindi tu mishamba Kwa mishamba na wanauza nchi za nje na hawataki kuondoka wanaita ndugu zao Kila siku haya wa Congo wamejaa kule wanalima vitunguu swaumu wakauze kwao ishu huwezi linganisha Geita na iringa Ata kama wanachimba dhahabu yenyewe unakuta wanaofaidi ni wachache tu

Point kubwa sana hii, mapato ya madini yana leakage kubwa sana licha ya initiatives mbalimbali za serikali Mara wajenge ukuta kuzunguka migodi Mara sijui masoko ya madini lakini kamwe haiwezi ishinda mikoa ilijizatiti kwenye kilimo. Iringa pale ni balaa kwa kilimo na ufugaji.
 
Wew unaijua iringa vizuri au unaisikia watu wanalima kule kama wehu na ni moja kati ya mkoa wenyewe ardhi kubwa sana Kwa ajili ya kilimo karibu Kila zao linakubali mahindi, alizeti,nyanya,vitungu,viazi,miti,chai,pareto,viazi,pia wanafuga sana Kuna wazungu wametoka marekani wamenda kuwekeza kule wanalima mahindi tu mishamba Kwa mishamba na wanauza nchi za nje na hawataki kuondoka wanaita ndugu zao Kila siku haya wa Congo wamejaa kule wanalima vitunguu swaumu wakauze kwao ishu huwezi linganisha Geita na iringa Ata kama wanachimba dhahabu yenyewe unakuta wanaofaidi ni wachache tu
Iringa ni kama nimepita tu, nililala kama siku mbili hivi. Kwa nilivyopaona, panaonekana wanaoishi huko ni watu wenye "akili"

Lakini nako Geita, kutokana na umaarufu wake kwenye dhahabu, palipaswa kuwa na ukwasi unaoakisi "utajiri" wake wa dhahabu.

Nchi za uarabuni ni jangwa, lakini zimeweza kuenedelea kutokana na mafuta.

Geita inalima, inafuga na inavua pia samaki. Ukiongezea na uwepo wa dhahabu, nafikiri, kulipaswa kuwa miongoni mwa mikoa tajiri sana Tanzania.
 
Nadhani walichozingatia hapo ni hali kibiashara na mzunguko wa fedha kwenye mikoa tajwa.......kuwa kwenye mzunguko mkubwa wa fedha ni jambo la kwanza na kuzitumia hizo pesa kuboresha maisha yako ni jambo la pili......

Ni kama ofisini ambapo Kuna mtu analipwa 400,000/= lakini anazitumia vyema kujiboreshea maisha yake kuliko hata yule anayelipwa milioni lakini ukitazama kipato utamuona huyo mwenye milioni yupo juu......

Mikoa iliyo kwenye top five ina shughuli nyingi sana za kiuchumi, kipimo , biashara na viwanda kama ulishawahi kufika maeneo hayo utakuwa shahidi katika hili.........

Pamoja kujishughulisha na yote lakini wameshindwa kuboresha standard za maisha yao.......

Kiujumla Ukiacha Dar es salaam hakuna mkoa unaoifikia Kilimanjaro kwa standard ya maisha.......maana yake Wana Kilimanjaro wametumia vyema rasilimali zao kujiboreshea maisha yao......

Hivi mnaionaje Kilimanjaro,mnapita njiani tu na kutoa picha ya Jumla Jumla ila ndani ndani kuna umaskini wa kutupwa.

Walichofanya wachaga ni kujenga nyumbani kwao so miji yao imekaa Sawa na nyumba so ziko poa.
 
Iringa, Ruvuma na Mbeya mbona bado wanajenga nyumba za tofali za kuchoma katikati ya miji yao na wana hela? [emoji848]

Yani Mbeya town kabisa kuna nyumba za tofali za kuchoma sio za mwaka 2000 wala 2010 zinajengwa hadi kesho
Unamaanisha tofali za kuchoma ni tatizo?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Iringa, Ruvuma na Mbeya mbona bado wanajenga nyumba za tofali za kuchoma katikati ya miji yao na wana hela? 🤔

Yani Mbeya town kabisa kuna nyumba za tofali za kuchoma sio za mwaka 2000 wala 2010 zinajengwa hadi kesho
Hadi Uingereza kuna Tofali za kuchoma ...
 
Mikoa ya pwani mbona haipo na tumesikia huko watu ni wavivu hawataki kazi
 
Back
Top Bottom