Mikoa ambayo haiendelei kabisa

Mikoa ambayo haiendelei kabisa

Ok

Mkuu kwako Maendeleo ni kitu gani?
Maendeleo unayapima kwa kipimo gani?

Je maendeleo ni majengo?
Je maendeleo ni pesa?
Je maendeleo ni barabara?

Je unaongelea maendeleo ya mtu binafsi?

Je maendeleo huletwa na nani?

Je wewe umekaa unasubiri maendeleo yaonekane huko kwenu?


Labda nikusaidie maendeleo yanatafsiriwa kwa kutumia kanuni za uchumi ambazo pia zina mapungufu

Maendeleo hupimwa kwa pato la Taifa (GDP) ambalo sasa unaweza kujua kila mkoa au sekta imechangia kwa kiasi gani? Na pia unaweza kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu ukajua maendeleo yapo vipi?

Mfano maeneo yenye mali ghafi na viwanda n i rahisi kuona yamechangia pato kubwa kwa Taifa,Lakini tukiligawa kwa idadi ya watu wa eneo hilo yawezekana kuna umaskini wa kutisha

Mfano ,Mtwara kuna bandari na kuna kiwanda kikubwa cha cement ,Pia ndiko kuna korosho zinazoingiza pesa za kigeni ,Je mapato ya bandari ya mtwara na mapato ya korosho ni kiasi gani?

Baada ya sensa serikali ilitoa report ya maendeleo pia,Je hiyo miko ipo?lakini moja ya maeneo yenye hali mbaya ni Bukoba hiyo nina uhakika na niliona kwenye report ya takwimu

Mbeya jijo ina pato kubwa ,Je ukiona watu wa Mbeya wana maisha mazuri na wana maendeleo ?

Dar es Salaam pi ina pato kubwa ,Je ina maendeleo na watu wake wengi wanaoshindia mihogo unasemaje?
hiyo mara anayoiongelea kwamba ina uchumi wa chini, akumbuke ndiko kwenye mgodi wa North mara, kuna ziwa watu wanavua, na vi mgodi vidogo vidogo vingi tu
 
Huo ni uchumi wako ambao hautambuliki na IMF na WB

Tunaongelea vigezo vya kimataifa vya ukuaji vya IMF na World Bank
Imf na world bank Wana generalise mfano utajiri WA mo ,na bakharesa una replace umasikini WA watu Zaid ya 40m
 
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU
Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-Mtwara na Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu

Maisha ni duni hakuna center nzuri
Vijana wa 2000s,eti Mtwara na Lindi kuna jangwa..huko shuleni mnasoma nini?
 
Ongeza na Kagera
Kagera imesingiziwa kwakua Kuna Wilaya, kama Boharamlo na nhara ambapo watu ni masikini...Bukoba kama Bukoba siyo masikini tusijilishe matango pori. Pia na hisi Kuna watu Wana personalize issues...Mkoa kama Kilimanjaro ni kwasababu ya utalii ndiyo sababu inaonekana Ina uchumi mkubwa but then compared to other places wao wamewekewa miundombinu karibu yote ya kukoleza uchumi ..Hizi takwimu ziangaliwe Kwa umakini sana. Huwezi kuiiya Geita Ina uchumi mkubwa ukilinganisha na say Bukoba...Kwakua hapo Kuna migodi na pesa nyingi ni za state siyo individuals
 
Kagera imesongiziwa kwakua Kuna Wilaya, kama Boharamlo na nhara ambapo watu ni masikini...Bukoba kama Bukoba siyo masikini tujilishe matango pori. Pia na hisi Kuna watu Wana personalize issues...Mkoa kama Kilimanjaro ni kwasababu ya utalii ndiyo sababu inaonekana Ina uchumi mkubwa but then compared to other places wao wamewekewa miundombinu karibu yote ya kukoleza uchumi ..Hizi takwimu ziangaliwe Kwa umakini sana. Huwezi kuiiya Geita Ina uchumi mkubwa ukilinganisha na say Bukoba...Kwakua hapo Kuna migodi na pesa nyingi ni za state siyo individuals
mleta mada ni mtu wa hovyo kabisa mkuu
hana vigezo vya maana. eti gari zina namba A .UJUAJI WA BURE
 
Kagera imesongiziwa kwakua Kuna Wilaya, kama Boharamlo na nhara ambapo watu ni masikini...Bukoba kama Bukoba siyo masikini tujilishe matango pori. Pia na hisi Kuna watu Wana personalize issues...Mkoa kama Kilimanjaro ni kwasababu ya utalii ndiyo sababu inaonekana Ina uchumi mkubwa but then compared to other places wao wamewekewa miundombinu karibu yote ya kukoleza uchumi ..Hizi takwimu ziangaliwe Kwa umakini sana. Huwezi kuiiya Geita Ina uchumi mkubwa ukilinganisha na say Bukoba...Kwakua hapo Kuna migodi na pesa nyingi ni za state siyo individuals
Mara Kuna Serengeti vp Mbona Bado umaskin upo
 
Ok

Mkuu kwako Maendeleo ni kitu gani?
Maendeleo unayapima kwa kipimo gani?

Je maendeleo ni majengo?
Je maendeleo ni pesa?
Je maendeleo ni barabara?

Je unaongelea maendeleo ya mtu binafsi?

Je maendeleo huletwa na nani?

Je wewe umekaa unasubiri maendeleo yaonekane huko kwenu?


Labda nikusaidie maendeleo yanatafsiriwa kwa kutumia kanuni za uchumi ambazo pia zina mapungufu

Maendeleo hupimwa kwa pato la Taifa (GDP) ambalo sasa unaweza kujua kila mkoa au sekta imechangia kwa kiasi gani? Na pia unaweza kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu ukajua maendeleo yapo vipi?

Mfano maeneo yenye mali ghafi na viwanda n i rahisi kuona yamechangia pato kubwa kwa Taifa,Lakini tukiligawa kwa idadi ya watu wa eneo hilo yawezekana kuna umaskini wa kutisha

Mfano ,Mtwara kuna bandari na kuna kiwanda kikubwa cha cement ,Pia ndiko kuna korosho zinazoingiza pesa za kigeni ,Je mapato ya bandari ya mtwara na mapato ya korosho ni kiasi gani?

Baada ya sensa serikali ilitoa report ya maendeleo pia,Je hiyo miko ipo?lakini moja ya maeneo yenye hali mbaya ni Bukoba hiyo nina uhakika na niliona kwenye report ya takwimu

Mbeya jijo ina pato kubwa ,Je ukiona watu wa Mbeya wana maisha mazuri na wana maendeleo ?

Dar es Salaam pi ina pato kubwa ,Je ina maendeleo na watu wake wengi wanaoshindia mihogo unasemaje?
Kila mtu ana kanuni zake za kupima maendeleo bro sidhani kama tabora ili upime maendeleo yake uhitaji kutumia hizo sijui GPD sijui aiseh tabora maisha ni magumu na pia hakuna maendeleo short and clear
 
Nimefika mara, Nilijua takwimu za NBS za kweli, isee takwimu za mara zinajengwa na Serengeti. Wananchi wanahali ngumu sana. Mjini hakuna watu, yaani kamji ni kadogo hakana watu. Mzunguko ni mdogo sana. Tuongee ukweli Kuna haja ya serikali kuvutia uwekezaji mikoani. Mikoa mingi Tanzania imetelekezwa. Hakuna masoko, hakuna viwanda Kila bidhaa ni ghali. Viwanda vimepelekwa pwani na dar, migodi inalipia Dodoma. Kugawa pato kwa jinsi unavyochangia si sawa. Kuna mikoa inatumia gawio lisilo la kwao. Kuna haja ya kodi kubwa kwa migodi kukusanywa na mkoa husika. Ili zitumike kuwaletea wenyeji maendeleo.
 
Kila mtu ana kanuni zake za kupima maendeleo bro sidhani kama tabora ili upime maendeleo yake uhitaji kutumia hizo sijui GPD sijui aiseh tabora maisha ni magumu na pia hakuna maendeleo short and clear
hapo sikubaliani nawewe kabisa hivi unataka kuniambia Tabora ile ya miaka 5-10 iliyopita ni sawa na Tabora ya leo? baada ya kuwa barabara kuu zote za kiuinganisha na mikoa mingine Zimekamilika kwa kiwango Cha lami ikiwemo ile ya kwenda mpanda? ambapo Sasa unaweza kutoka muda wowote kwenda mji wowote mkubwa!
Wakati mwingine muwe na aibu kuongea vitu visivyo sahihi
 
Ok

Mkuu kwako Maendeleo ni kitu gani?
Maendeleo unayapima kwa kipimo gani?

Je maendeleo ni majengo?
Je maendeleo ni pesa?
Je maendeleo ni barabara?

Je unaongelea maendeleo ya mtu binafsi?

Je maendeleo huletwa na nani?

Je wewe umekaa unasubiri maendeleo yaonekane huko kwenu?


Labda nikusaidie maendeleo yanatafsiriwa kwa kutumia kanuni za uchumi ambazo pia zina mapungufu

Maendeleo hupimwa kwa pato la Taifa (GDP) ambalo sasa unaweza kujua kila mkoa au sekta imechangia kwa kiasi gani? Na pia unaweza kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu ukajua maendeleo yapo vipi?

Mfano maeneo yenye mali ghafi na viwanda n i rahisi kuona yamechangia pato kubwa kwa Taifa,Lakini tukiligawa kwa idadi ya watu wa eneo hilo yawezekana kuna umaskini wa kutisha

Mfano ,Mtwara kuna bandari na kuna kiwanda kikubwa cha cement ,Pia ndiko kuna korosho zinazoingiza pesa za kigeni ,Je mapato ya bandari ya mtwara na mapato ya korosho ni kiasi gani?

Baada ya sensa serikali ilitoa report ya maendeleo pia,Je hiyo miko ipo?lakini moja ya maeneo yenye hali mbaya ni Bukoba hiyo nina uhakika na niliona kwenye report ya takwimu

Mbeya jijo ina pato kubwa ,Je ukiona watu wa Mbeya wana maisha mazuri na wana maendeleo ?

Dar es Salaam pi ina pato kubwa ,Je ina maendeleo na watu wake wengi wanaoshindia mihogo unasemaje?
Maendeleo ni tofauti na uchumi mkubwa. Maendeleo hupimwa kwa Human Development Index. Nchi inaweza ikawa na uchumi mkubwa lkn dvt index ikawa chini.
 
Eneo linaweza likawa na uchumi mkubwa lkn ikawa na development index ndogo. Mfano mkoa wa Shinyanga Una GDP kubwa lkn development index yake ni ndogo ukilinganisha na Iringa, Njombe, Kilimanjaro, Arusha, Kagera etc.
Development Index hupimwa kwa vitu kama elimu: Ni kwa kiwango gani elimu imeenea, miundo mbinu ya elimu ikoje, ratio ya mwalimu kwa mwanafunzi ikoje? Ratio ya daktari kwa mgonjwa ikoje? Kilometers za barabara zikoje? Huduma za maji zikoje? Ubora wake ukoje? Upatikanaji? Huduma za nishati ya umeme na gesi? Etc
 
hapo sikubaliani nawewe kabisa hivi unataka kuniambia Tabora ile ya miaka 5-10 iliyopita ni sawa na Tabora ya leo? baada ya kuwa barabara kuu zote za kiuinganisha na mikoa mingine Zimekamilika kwa kiwango Cha lami ikiwemo ile ya kwenda mpanda? ambapo Sasa unaweza kutoka muda wowote kwenda mji wowote mkubwa!
Wakati mwingine muwe na aibu kuongea vitu visivyo sahihi
Aya sawa
 
Back
Top Bottom