Huu mwaka huuUmesahau Kagera, Songwe , Rukwa na Katavi pamoja na Iringa.
watu wa kagera tangu Magufuli alivyowatukana kwenye tetemeko na kukataa kupokea maombi ya mama Kabendera hadi akafariki mama wa watu tena jamaa akamkatalia mtoto wake kwenda kumzika mama yake, hawana hamu na Magufuli.
Kuna Ruvuma na njombe Pia mkuu.
Mbeya labda mjini kwa Sugu sio huko kwengine maana walikuwa na jimbo moja tuu 2015,usichanganye na Songwe ni mkoa mwengine.Duh,umenikumbusha! Mbeya ndio itakuwa balaa.
Manyara haitokuwa tofauti na Arusha.
Ngoja wajeKwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Hata Geita pia kuna Kipindi alisimana barabarani wananchi wakamwambia baba njaa nae akawajibu mlitaka mimi nije kuwapikia?Wee salary mbona umesahau kule alipowaambia teteko hakuleta yeye!
Kuna sehemu kuna element za ukabila kushinda Kaskazini?Huko kuna elements za ukabila/ukanda ila bado hali inaweza kuwa tofauti maana watanzania sio watu wa kujali ukabila.
Na wakati wa zoezi la uandikishaji walikuwa wanabeza eti watu wamechoka na chaguzi zisizo na faida nk, ccm walihamasisha wanachama wao kujiandikisha kwa wingiKijani hujiandikisha na hupiga kura,kura za mtandao ni tofauti kabisa na uhalisia.
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Why not wasukumaWachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Hayawi hayawi sasa yamekua.Huyu hapa polepole akithibitisha
Maendeleo ni kwa wote sio kwamba kusiko na wanachama wa CCM maji ná umeme havifiki. Siasa za CCM ni za kishamba sana eti msipochagua CCM maendeleo hatuleti.Hili jambo la Maendeleo ya Vitu vs Maendeleo ya Watu wanaLumumba linawapa taaabu sana wameshindwa kabisa kujitetea.
Mbaya zaidi CCM Mpya walilipuuzia, watu walipokuwa wanaelezea umuhimu wa sera hii inayoeleweka kwa urahisi Maendeleo ya Watu na mguso wake kwa waTanzania wote bila kujali walipo iwe vijijini ndani ndani, miji midogo na mikubwa kona zote za nchi.
Hapana si yeye!!Kweli kabisa mkuu maana huko vijijini wazee na wanawake woote wanasema ni yeyee
AiseKwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Magu ana hali mbaya!!