luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
1_Unachekesha,msukuma anajua kupika Nini zaidi ya ugali wa udaga?Luambo acha ku2ingiza mujini bwana[emoji3] wachagga hawafui dafu ata kwa wasukuma.
Alafu bwana luambo nigeie siri ya ndugu zako wengiwao hawana makalio alafu miguu spoku. I mean "KE"
1_Ulitaka wachukiane wenyewe kwa wenyewe?Ki2 kingine wanachoniuzi hawa wachagga wengiwao ni wabinafsi na kuyadharau makabila mengine. Yani Wanapendana wao kwa wao hata kwenye makampuni usiombe mchaga awe bosi wako chief utalia machozi ya damu, wanabebana wao kwa wao yani wanakera sana.
Nachowapendea kwa upande wa business wako vizuri mfano maduka na transport.
Hiyo mimafuta tu wanayolishana ndio maana wananenepeana hovyo ila hakuna vyakula tamu kwao.1_Unachekesha,msukuma anajua kupika Nini zaidi ya ugali wa udaga?
2_kasome ripoti ya wizara ya afya kilimanjaro ndio inaongoza wanawake wanene
1_Ulitaka wachukiane wenyewe kwa wenyewe?
2_wapo vizuri idara zote sio bussness tu hata elimu, maendeleo ni mfano wa kuigwa
1_Unachekesha,msukuma anajua kupika Nini zaidi ya ugali wa udaga?
2_kasome ripoti ya wizara ya afya kilimanjaro ndio inaongoza wanawake wanene
Napata mashaka na uwezo wako kiakiliSina maana wachukiane wao kwa wao, ila waache ubinafsi kwa makabila mengine, nimefanyanao kz nnawajua vizuri sana. Meneja wa kampuni akiwa mchaga anawavuta wachaga wenzie ata kama hawajui kazi ilimradi tu awabebe.
Pia wangerikuwa wamesoma wasingeji2pa mikoani kuuza mitumba na kufuga nguruwe na isitoshe asilimia kubwa ya wamachinga ni wachaga wametapakaa kila mkoa.
Mimafuta gani mkuu? Mbona unaweweseka? Watu wana mkwanja na maisha bora wataachaje kunona?Hiyo mimafuta tu wanayolishana ndio maana wananenepeana hovyo ila hakuna vyakula tamu kwao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu tuache na mkoa wetu wa mara bhanaWakuu.
Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi
Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula japo ni kwa mama ntilie lakini chakula kitamu na mikoa mingine imejaa laana bin balaa yaani ukila chakula utahisi hadi kuugua homa ya manjano.
A: Mikoa Wanayojitahidi Kupika vizuri
1. Tanga
2. Pwani
3.Lindi
4. Mtwara
5.Dodoma
6. Morogoro
7. Mwanza
8. Kigoma maeneo ya Ujiji
9. Dar Es Salaam.
10. Tabora.
Ifuatayo ni Mikoa yenye laana bin balaa sijui hua wanaloweka au maana chakula asilimia kubwa hakina ladha kabisa.
B:Mikoa hiyo ni Kama Ifuatavo
1. Mara
2.Arusha
3.Manyara
4.Singida
5.Ruvuma
6. Rukwa
7. Katavi
8. Iringa
9. Mbeya
10.Njombe
11.Geita
12. Simiyu
13.Kagera/Bukoba
14. Kilimanjaro.
Huo ni utafiti mdogo kabisa sijui wanatatizo gani
Aaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.Mimafuta gani mkuu? Mbona unaweweseka? Watu wana mkwanja na maisha bora wataachaje kunona?
Hahaha sahani ya batiAaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.
Kazi yao ni kukaanga sana nyama na kuchoma nyama na mitori na mbege.
Asa zile mafuta za kukaangia ndio zinawanenepesha.
Sio km ukutane na vitu vya pwani sio poa.
Mandi,biryani,diko diko,halwa,juice ya tende,mzinga ya nyuki, utatamani ulambe na sahani na lazima mwili ujengeke vzuri sio km wachaga wananenepa vitambi makalio km sahan ya bati.
Aaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.
Kazi yao ni kukaanga sana nyama na kuchoma nyama na mitori na mbege.
Asa zile mafuta za kukaangia ndio zinawanenepesha.
Sio km ukutane na vitu vya pwani sio poa.
Mandi,biryani,diko diko,halwa,juice ya tende,mzinga ya nyuki, utatamani ulambe na sahani na lazima mwili ujengeke vzuri sio km wachaga wananenepa vitambi makalio km sahan ya bati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna shemeji yangu mchaga, yaani mapishi ni zero kabisa , dagaa wa jero mafuta anaweka nusu ndoo... daah
AhahAHAHAHAHAHAHAHAHA MKUU MM SIMO WAKIJA WENYEWE USINTAJE.Ivi ni kwanini wanaume wakichagga wana matako alafu wanawake flatiscreen?
AhahAHAHAHAHAHAHAHAHA MKUU MM SIMO WAKIJA WENYEWE USINTAJE.
Wachaga km wapare sura inalipa ila kalio na kiuno sassaaaa kiuno kigumuu km spare tyre kalio sifuri.
Asee ndio asili yao mkuu .
Ni sawa uulize kwann wasambaa wana misambwandaa.
Daaah bro mm simo hahahahahahahaWana body kubwa miguu spoku,alafu wengi wana meno mekundu kama wamepaka mavi mzee. Hapo hata kumkiss cjui unaanzia wapi.
Hakuna mama ntilie anayejua kupika chakula kwa wateja labda kwake nyumbani tusidanganyaneWakuu.
Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi
Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula japo ni kwa mama ntilie lakini chakula kitamu na mikoa mingine imejaa laana bin balaa yaani ukila chakula utahisi hadi kuugua homa ya manjano.
A: Mikoa Wanayojitahidi Kupika vizuri
1. Tanga
2. Pwani
3.Lindi
4. Mtwara
5.Dodoma
6. Morogoro
7. Mwanza
8. Kigoma maeneo ya Ujiji
9. Dar Es Salaam.
10. Tabora.
Ifuatayo ni Mikoa yenye laana bin balaa sijui hua wanaloweka au maana chakula asilimia kubwa hakina ladha kabisa.
B:Mikoa hiyo ni Kama Ifuatavo
1. Mara
2.Arusha
3.Manyara
4.Singida
5.Ruvuma
6. Rukwa
7. Katavi
8. Iringa
9. Mbeya
10.Njombe
11.Geita
12. Simiyu
13.Kagera/Bukoba
14. Kilimanjaro.
Huo ni utafiti mdogo kabisa sijui wanatatizo gani
Mkuu Kuna watu hawajui kupika yaani hata hicho cha asili yao tu kikipikwa, huliii !!nadhani kupika kila mtu ana asili ya mapishi yake na upishi kulingana na chakula kinachopatikana kwenye mazingira yake msukuma wa shinyanga anajuaje kupika kwa nazi wakati amezoea Samli!?. Mathalani ukichunguza anaosema hawajui kupika utakuta kuna chakula cha asili yao utachokipenda ndio maana utaona kuna restaurant za mataifa mbalimbali ambayo hupika chakula cha asili yao kama ethiopian thailand na mengineo hivyo huwezi sema watu flani hawajui kwa kuwa hawajui kupika chakula ambacho kwao ni cha mapokeo mimi kilimanjaro wananikosha kwa mtori,
Faida zipo mkuu,kwanza kuhimili tendo kwa wanaume na magonjwa ya utapiamlo,vitambi na presha na kisukari hutokana na kutojua kupikaAisee kumbe, utafiti wako unasemaje kuhusu faida zinazopatikana kwa kupika vizuri na hasara za kutopika vizuri?