Mikoa ambayo Wanawake wanafahamu kupika Chakula na mikoa mbayo wanawake hawafahamu kupika Chakula kizuri ni hii hapa...

Mikoa ambayo Wanawake wanafahamu kupika Chakula na mikoa mbayo wanawake hawafahamu kupika Chakula kizuri ni hii hapa...

Luambo acha ku2ingiza mujini bwana[emoji3] wachagga hawafui dafu ata kwa wasukuma.

Alafu bwana luambo nigeie siri ya ndugu zako wengiwao hawana makalio alafu miguu spoku. I mean "KE"
1_Unachekesha,msukuma anajua kupika Nini zaidi ya ugali wa udaga?
2_kasome ripoti ya wizara ya afya kilimanjaro ndio inaongoza wanawake wanene
 
Ki2 kingine wanachoniuzi hawa wachagga wengiwao ni wabinafsi na kuyadharau makabila mengine. Yani Wanapendana wao kwa wao hata kwenye makampuni usiombe mchaga awe bosi wako chief utalia machozi ya damu, wanabebana wao kwa wao yani wanakera sana.

Nachowapendea kwa upande wa business wako vizuri mfano maduka na transport.
1_Ulitaka wachukiane wenyewe kwa wenyewe?
2_wapo vizuri idara zote sio bussness tu hata elimu, maendeleo ni mfano wa kuigwa
 
1_Ulitaka wachukiane wenyewe kwa wenyewe?
2_wapo vizuri idara zote sio bussness tu hata elimu, maendeleo ni mfano wa kuigwa

Sina maana wachukiane wao kwa wao, ila waache ubinafsi kwa makabila mengine, nimefanyanao kz nnawajua vizuri sana. Meneja wa kampuni akiwa mchaga anawavuta wachaga wenzie ata kama hawajui kazi ilimradi tu awabebe.

Pia wangerikuwa wamesoma wasingeji2pa mikoani kuuza mitumba na kufuga nguruwe na isitoshe asilimia kubwa ya wamachinga ni wachaga wametapakaa kila mkoa.
 
Sina maana wachukiane wao kwa wao, ila waache ubinafsi kwa makabila mengine, nimefanyanao kz nnawajua vizuri sana. Meneja wa kampuni akiwa mchaga anawavuta wachaga wenzie ata kama hawajui kazi ilimradi tu awabebe.

Pia wangerikuwa wamesoma wasingeji2pa mikoani kuuza mitumba na kufuga nguruwe na isitoshe asilimia kubwa ya wamachinga ni wachaga wametapakaa kila mkoa.
Napata mashaka na uwezo wako kiakili
kwahyo ulitaka wasichangamkie fursa mikoani? Wachaga hapa tz Ni Kama wahindi popote penye fursa huwakosi ndio Siri ya maendeleo yao
Na ndio maana hadi Leo kilimanjaro ni mkoa wa pili kwa watu wake kuwa na maisha Bora,yaan 90% ya watu wa kilimanjaro wanaishi maisha Bora,nyumba Bora na huduma zingine
Pia ktk elimu ndio hatari Hakuna kitengo ambacho wachaga hawajabobea fani zote huwakosi kwa wingi mfano idara za elimu,afya,uhasibu, bussness,engineering, transportation nk
Makampuni ya mabasi tz karibu nusu yanamilikiwa na watu wa kilimanjaro sasa ulitaka tujilegeze Kama wewe tudharau kazi? Mchaga hata awe na masters degree hachagui kazi
 
Wakuu.
Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi
Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula japo ni kwa mama ntilie lakini chakula kitamu na mikoa mingine imejaa laana bin balaa yaani ukila chakula utahisi hadi kuugua homa ya manjano.
A: Mikoa Wanayojitahidi Kupika vizuri
1. Tanga
2. Pwani
3.Lindi
4. Mtwara
5.Dodoma
6. Morogoro
7. Mwanza
8. Kigoma maeneo ya Ujiji
9. Dar Es Salaam.
10. Tabora.
Ifuatayo ni Mikoa yenye laana bin balaa sijui hua wanaloweka au maana chakula asilimia kubwa hakina ladha kabisa.

B:Mikoa hiyo ni Kama Ifuatavo
1. Mara
2.Arusha
3.Manyara
4.Singida
5.Ruvuma
6. Rukwa
7. Katavi
8. Iringa
9. Mbeya
10.Njombe
11.Geita
12. Simiyu
13.Kagera/Bukoba
14. Kilimanjaro.
Huo ni utafiti mdogo kabisa sijui wanatatizo gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu tuache na mkoa wetu wa mara bhana
 
Mimafuta gani mkuu? Mbona unaweweseka? Watu wana mkwanja na maisha bora wataachaje kunona?
Aaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.
Kazi yao ni kukaanga sana nyama na kuchoma nyama na mitori na mbege.
Asa zile mafuta za kukaangia ndio zinawanenepesha.

Sio km ukutane na vitu vya pwani sio poa.
Mandi,biryani,diko diko,halwa,juice ya tende,mzinga ya nyuki, utatamani ulambe na sahani na lazima mwili ujengeke vzuri sio km wachaga wananenepa vitambi makalio km sahan ya bati.
 
Aaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.
Kazi yao ni kukaanga sana nyama na kuchoma nyama na mitori na mbege.
Asa zile mafuta za kukaangia ndio zinawanenepesha.

Sio km ukutane na vitu vya pwani sio poa.
Mandi,biryani,diko diko,halwa,juice ya tende,mzinga ya nyuki, utatamani ulambe na sahani na lazima mwili ujengeke vzuri sio km wachaga wananenepa vitambi makalio km sahan ya bati.
Hahaha sahani ya bati
 
Aaaah hawajui kupika chakula nzuri hawa jamaa.
Kazi yao ni kukaanga sana nyama na kuchoma nyama na mitori na mbege.
Asa zile mafuta za kukaangia ndio zinawanenepesha.

Sio km ukutane na vitu vya pwani sio poa.
Mandi,biryani,diko diko,halwa,juice ya tende,mzinga ya nyuki, utatamani ulambe na sahani na lazima mwili ujengeke vzuri sio km wachaga wananenepa vitambi makalio km sahan ya bati.

Ivi ni kwanini wanaume wakichagga wana matako alafu wanawake flatiscreen?
 
Ivi ni kwanini wanaume wakichagga wana matako alafu wanawake flatiscreen?
AhahAHAHAHAHAHAHAHAHA MKUU MM SIMO WAKIJA WENYEWE USINTAJE.
Wachaga km wapare sura inalipa ila kalio na kiuno sassaaaa kiuno kigumuu km spare tyre kalio sifuri.
Asee ndio asili yao mkuu .
Ni sawa uulize kwann wasambaa wana misambwandaa.
 
AhahAHAHAHAHAHAHAHAHA MKUU MM SIMO WAKIJA WENYEWE USINTAJE.
Wachaga km wapare sura inalipa ila kalio na kiuno sassaaaa kiuno kigumuu km spare tyre kalio sifuri.
Asee ndio asili yao mkuu .
Ni sawa uulize kwann wasambaa wana misambwandaa.

Wana body kubwa miguu spoku,alafu wengi wana meno mekundu kama wamepaka mavi mzee. Hapo hata kumkiss cjui unaanzia wapi.
 
Mikoa wasio jua kupika Bwana nadhani muwaige wana uhusiano saaana na .....
Manguvu Balaa hata wakitembea tu! utawajua ni shito kulia! mashine haswa...
akili mingi,
Mali nyingi inayo kaa sehemu maarufu km Boma,
mifugo mingi,
wazalishaji numberly moja wa chakula chote nchini kma wale wa kipunguni wanalisha DSM yote mayai, na nyingine kuuzwa nje wanailisha Bongo kwa fedha za kigeni, na huko ndo kuna madini pia, na mbuga nyingi za wanyama.
Maguvu, ya kazi kazi.
Wanatoa viongozi wengi Bora karibu wote,
waliweza mfukuza Mkoloni kirahisi,
walikwenda kwa wingi kumtoa nduli idd amini,
watoto wao ndo wanajaza shule zote za sirikali. na private, kuna uhusiano wa kula visivyo kaangwa na Elimu bora!
The Big four iko kwa mikoa hiyo isiyojua kupika vizuri, wanalisha chakula cha kutosha Mikoa yote inayo pika vizuri,
wanaunganisha nchi yote hkn ubaguzi.
wakakamavu, hawajalegea km mikoa inayopika vizuri.
wana sura za kazi hata Mkoloni alijua hilo.
hawakuchuliwa sana utumwani waliogopeka mfano Mara Muarabu hakutia pua!!
Wana mchango mkubwa ktk ukombozi wa Bara la africa.na Dunia kifupi wameheshimisha Tanzania,
wanaopikiwa vizuri wooote waliogopa, wavivu hata kwa gem, waliishia kula nyaa ajili ya misheded mifupi fupi!
Ndo hao hao wasiopika vizuri walililia Muungano wa Tanganyika na zanzi Yaani umoja. lkn wapika vizuri hawapendi mpaka leo!!

kuna mengi ila naondoka sasa hivi kupanda ndege pyuuuu!! usiseme kuhus covid haituhusu!!
 
Wakuu.
Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi
Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula japo ni kwa mama ntilie lakini chakula kitamu na mikoa mingine imejaa laana bin balaa yaani ukila chakula utahisi hadi kuugua homa ya manjano.
A: Mikoa Wanayojitahidi Kupika vizuri
1. Tanga
2. Pwani
3.Lindi
4. Mtwara
5.Dodoma
6. Morogoro
7. Mwanza
8. Kigoma maeneo ya Ujiji
9. Dar Es Salaam.
10. Tabora.
Ifuatayo ni Mikoa yenye laana bin balaa sijui hua wanaloweka au maana chakula asilimia kubwa hakina ladha kabisa.

B:Mikoa hiyo ni Kama Ifuatavo
1. Mara
2.Arusha
3.Manyara
4.Singida
5.Ruvuma
6. Rukwa
7. Katavi
8. Iringa
9. Mbeya
10.Njombe
11.Geita
12. Simiyu
13.Kagera/Bukoba
14. Kilimanjaro.
Huo ni utafiti mdogo kabisa sijui wanatatizo gani
Hakuna mama ntilie anayejua kupika chakula kwa wateja labda kwake nyumbani tusidanganyane
 
nadhani kupika kila mtu ana asili ya mapishi yake na upishi kulingana na chakula kinachopatikana kwenye mazingira yake msukuma wa shinyanga anajuaje kupika kwa nazi wakati amezoea Samli!?. Mathalani ukichunguza anaosema hawajui kupika utakuta kuna chakula cha asili yao utachokipenda ndio maana utaona kuna restaurant za mataifa mbalimbali ambayo hupika chakula cha asili yao kama ethiopian thailand na mengineo hivyo huwezi sema watu flani hawajui kwa kuwa hawajui kupika chakula ambacho kwao ni cha mapokeo mimi kilimanjaro wananikosha kwa mtori,
Mkuu Kuna watu hawajui kupika yaani hata hicho cha asili yao tu kikipikwa, huliii !!
 
Back
Top Bottom