Mikoa gani mizuti kuishi ukiwa umeajiriwa?

Mikoa gani mizuti kuishi ukiwa umeajiriwa?

Habari zenu wakuu,
Naomba nijuwe kwa mawazo yenu ni mkoa gani nzuri kwa kuishi ukiwa umeajiriwa.
Nashkuru
Mkoa uliopata ajira....haina maana sana hata ukiambiwa Mkoa wa Morogoro na wewe umeajiriwa Dodoma, utafanya nini sasa!
 
Mkoa ni kitu kikubwa sana, unaweza ukawa umeajiriwa mkoa wa Dar lakini ukawa unaishi maeneo ya ndani ndani kidogo na ukijikuta hata umeme mahali ulipo hakuna!

Issue ni sehemu ipi ya Mkoa umeajiriwa? Je ni makao makuu ya mkoa (mji wa mkoa ulipo) au wilayani. Kama jibu ni makao makuu ya mkoa ndio ajira yako inasoma, pasipo kuangalia factors nyingine zozote basi unaweza kuishi fresh mikoa yote kasoro mkoa wa Dar, Mwanza, Arusha na Dodoma
 
Mkoa ni kitu kikubwa sana, unaweza ukawa umeajiriwa mkoa wa Dar lakini ukawa unaishi maeneo ya ndani ndani kidogo na ukijikuta hata umeme mahali ulipo hakuna!

Issue ni sehemu ipi ya Mkoa umeajiriwa? Je ni makao makuu ya mkoa (mji wa mkoa ulipo) au wilayani. Kama jibu ni makao makuu ya mkoa ndio ajira yako inasoma, pasipo kuangalia factors nyingine zozote basi unaweza kuishi fresh mikoa yote kasoro mkoa wa Dar, Mwanza, Arusha na Dodoma
Asante Mkuu
 
Dar ondoa kwenye list ukiwa mwajiriwa mpya ni kujiongezea umaskini.
 
Nashkuru sana Dar ilikuwa ipo kichwani sana ila watu wengi hawashauri Dar
Kwa mtu anayeanza kazi Dar mara nyingi utapata makazi mbali na mji na usafiri Dar ni tatizo kubwa sana.
Huu mji haufai kabisa watu wanaishi kwa mazoea tu.
 
Dar pagumu kwa watu ambao bongo zao huwa zina load ma file kwa speed ya Kobe.
Utakuwa tapeli la Dar wewe.
Piga hesabu mtu anayeishi Kimara mwisho au Bonyokwa na anafanyia kazi posta au Bunju na unafanyia kazi posta.
Tatizo kubwa la Dar kwa watu wa maofisini ni foleni kubwa na kuwahi ofisini jambo ambalo litakulazimu uamke mapema mno na uchelewe kurudi nyumbani.

Naijua Dar kuliko hata wewe..nimeanza kuishi kabla babako hajapiga bao uzaliwe.
 
Back
Top Bottom