Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah😳Utakuwa tapeli la Dar wewe.
Piga hesabu mtu anayeishi Kimara mwisho au Bonyokwa na anafanyia kazi posta au Bunju na unafanyia kazi posta.
Tatizo kubwa la Dar kwa watu wa maofisini ni foleni kubwa na kuwahi ofisini jambo ambalo litakulazimu uamke mapema mno na uchelewe kurudi nyumbani.
Naijua Dar kuliko hata wewe..nimeanza kuishi kabla babako hajapiga bao uzaliwe.
Sasa unawezaje kuishi kimara wakati unafanya kazi posta na mshahara wako ni laki nne, a smart person ataenda kuishi kigamboni.Utakuwa tapeli la Dar wewe.
Piga hesabu mtu anayeishi Kimara mwisho au Bonyokwa na anafanyia kazi posta au Bunju na unafanyia kazi posta.
Tatizo kubwa la Dar kwa watu wa maofisini ni foleni kubwa na kuwahi ofisini jambo ambalo litakulazimu uamke mapema mno na uchelewe kurudi nyumbani.
Naijua Dar kuliko hata wewe..nimeanza kuishi kabla babako hajapiga bao uzaliwe.
Inategemea na mipango na mikakati yako.Nashkuru sana Dar ilikuwa ipo kichwani sana ila watu wengi hawashauri Dar
[emoji1][emoji1] arekebishe tu maana daahSorry hicho kichwa habari kina msamiati wenye tafsiri mbaya kwa lugha ya kipare.....ingekuwa vyema Mods wangerekibisha ili kuondoa ukakasi...
Ongezea manyara na arusha.Singida mkuu kuna totozi kali
Njoo Mwanza kwa hakika utanishukuru na pesa ya soda utanipatiaHabari zenu wakuu,
Naomba nijuwe kwa mawazo yenu ni mkoa gani nzuri kwa kuishi ukiwa umeajiriwa.
Nashkuru