mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Ifanye dar kwa kuanzia kama sample. Ni biashara nzur yenye long term profitWakuu mikoa inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Sina shaka kuhusu Dar linapokuja suala la mzunguko wa hela.
Tupeane abc za mikoa yenye vipato vilivyosimama (ukiondoa Dar) na kuna hela nzuri ya pango kwa hizi nyumba za kawaida za kupangisha (ambazo sio lodge).
Nayo ni mkoa wa Tanganyika..?marekani
sorry typing error sikukuu na uchaguzi vinachanganya si unajua tunasubiri kauli ya mwenyekiti!, mambo mvurugano.Nayo ni mkoa wa Tanganyika..?
CitiesMbeya, Arusha, Mwanza,
Popote kaskazn afu uwe karibu na vyuo pesa nje nje sema bei ya kiwanja sasasorry typing error sikukuu na uchaguzi vinachanganya si unajua tunasubiri kauli ya mwenyekiti!, mambo mvurugano.
Zanzibar ila pata sehemu zenye utalii sema gharama za ujenzi ni kubwa!.
Kiuhalisia ni mikoani, hio hadhi ya jiji wameilazimisha tu, Kuna jiji moja tu Tz, Dsm, Kwa Mbali Mwanza, FULLSTOP !!Cities
Kuhusu arusha umeongea ukweli, kama miezi hii nyumba zimekuwa adimu kweli kweli, wageni ni wengi mno,kupata airbnb kwa miezi hii ni changamoto.Arusha - Demand ni kubwa sana, Watalii wanapenda Air Bnb wanakodi nyumba kwa wiki
Mbeya - Jiji linakuwa kwa spidi lakini makazi yamekuwa changamoto
sawa kiongoziIfanye dar kwa kuanzia kama sample. Ni biashara nzur yenye long term profit
duuh hiihii grinisiri auMbeya
skweamita shngapi uko mkuu km hutajali kutujuzaGeita,hutojutia na bei zimechangamka kuanzia ardhi
🥴duuh hiihii grinisiri au
nakazia tena mitaa ya kuanzia lenny hotel, EPZ magogo mpaka buhalahalaGeita,hutojutia na bei zimechangamka kuanzia ardhi