RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Huu ni mkoa gani?marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni mkoa gani?marekani
ZanzibarWakuu mikoa inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Sina shaka kuhusu Dar linapokuja suala la mzunguko wa hela.
Tupeane abc za mikoa yenye vipato vilivyosimama (ukiondoa Dar) na kuna hela nzuri ya pango kwa hizi nyumba za kawaida za kupangisha (ambazo sio lodge).
Wakuu mikoa inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Sina shaka kuhusu Dar linapokuja suala la mzunguko wa hela.
Tupeane abc za mikoa yenye vipato vilivyosimama (ukiondoa Dar) na kuna hela nzuri ya pango kwa hizi nyumba za kawaida za kupangisha (ambazo sio lochuga bro
wa ulaya!Huu ni mkoa gani?
uku mtu wa bara hauwezi kuruhusiwa japo wao wamejazana uku bongo kibaoZanzibar
haiwezi kuwa kote mkuuPopote Tanzania, makazi bado yanahitajika sana na population inaongezeka daily
Bila kusahau Lodge Dodoma zinalipa sana piaDodoma vyumba ni bei ghali kuliko mikoa yote Tanzania, wanaoishi watakuja kukazia, Chumba cha Elfu 80 Dar Dodoma ni 120.
Dodoma vyumba ni bei ghali kuliko mikoa yote Tanzania, wanaoishi watakuja kukazia, Chumba cha Elfu 80 Dar Dodoma ni 120.
Mkoa gani hauna wapangaji? Wafanyakazi wa serikali, sekta binafsi n.k katika huo mkoa wote wamejenga majumba yao, sivyo?haiwezi kuwa kote mkuu
Sawa kila mkoa una uhitaji ila hapo watu wanatazama faida ( kwa namna wamewekeza) Kuna baadhi ya mikoa nyumba ya kisasa kabisa ya vyumba vitatu ila unakuta kodi sh laki moja na nusu/ mbili... Kwa Dsm ni nadra kupata nyumba kwa bei hiyo..Mkoa gani hauna wapangaji? Wafanyakazi wa serikali, sekta binafsi n.k katika huo mkoa wote wamejenga majumba yao, sivyo?
iyo laki mbna nyingi sana kuna jamaangu alipanga mkoa flani akilipa 50k nyumba nzima tena ile self contained. sa huo si ufala wakati lile sinki moja tu la choo si chini laki unusuSawa kila mkoa una uhitaji ila hapo watu wanatazama faida ( kwa namna wamewekeza) Kuna baadhi ya mikoa nyumba ya kisasa kabisa ya vyumba vitatu ila unakuta kodi sh laki moja na nusu/ mbili... Kwa Dsm ni nadra kupata nyumba kwa bei hiyo..
Mambo ya iringa njombe na songea🤣iyo laki mbna nyingi sana kuna jamaangu alipanga mkoa flani akilipa 50k nyumba nzima tena ile self contained. sa huo si ufala wakati lile sinki moja tu la choo si chini laki unusu
Mikoa ya Tanzania inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Ukiondoa Dar es Salaam, mikoa mingine yenye vipato vya juu kwa wakazi wake ni pamoja na:Wakuu mikoa inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Sina shaka kuhusu Dar linapokuja suala la mzunguko wa hela.
Tupeane abc za mikoa yenye vipato vilivyosimama (ukiondoa Dar) na kuna hela nzuri ya pango kwa hizi nyumba za kawaida za kupangisha (ambazo sio lodge).
hata darasani kuna wanaosinzia🤣Huu ni mkoa gani?