ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Lindi pakoje mkuu?Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboaππ
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Kagera
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Tanga mji umebaki wazee tu.Tanga
Nilikaa Moshi miaka miwili sikuwahi kuokota hata 100 chakavuπππKwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboaππ
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Kagera
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Kwenye umaskini Totoro ndipo kwenye fursa kubwa. Kuna wahindi fulani wanaita Kampuni yao Shinyanga imporium walianzia maisha Shinyanga, zamani huko, kufikia miaka ya 2000 walikuwa Dsm wakisafirisha spare za baiskeli toka nje na kuuza Tanzania nzima.Lindi pakoje mkuu?
Mbona nasikia pananuka umasikini.
Songwe unatoboa asbh sana.Vipi Songwe??π
Ndio maana Iko kwenye list ila Wilaya zake ni nzuri but Hazina miundombinu ya Barabara za uhakikaLindi pakoje mkuu?
Mbona nasikia pananuka umasikini.
π«‘π«‘π«‘Songwe unatoboa asbh sana.
Ingia pale Tunduma daka mzigo toka Zambia kamata fursa ingiza mapesa.
Kuko safiVipi Songwe??π
Kabisa ni rahisi mno kufanikiwa kagera.Usipotoboa ukiwa Kagera utakuwa mwehu
Fursa za uvuvi
Kilimo cha kahawa
Ufugaji
Tumepakana na nchi za Uganda, Burundi, Rwanda
Kilimo cha miwa, ndizi, maharage n.k
Usafirishaji
Singida unatoboa, usiende Singida Mjini kimbilia Manyoni halafu urejeshe majibu. Manyoni ni Bandari ya Nchi kavu wewe tu akili Mukichwa.Singida = 0