Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Kilimanjaro ni vigumu kama huna brain kubwa. Ni sawa na kwenda ku fight maisha Marekani ukadhani ni rahisi.
Kilimanjaro asilimia kubwa sana ni watafuta pesa, sio watumia pesa, hivyo kuwa na kitu Cha kuuza kule kinatakiwa kuwa na demand ya kweli kweli.
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Rukwa ungeitoa mikoa mingine yote nakubalisna na wewe
 
Wewe umetoboa Kwa lipi kweymkoa.huo wenye watu mafukara na poor purchasing power?
Mkuu punguza ubishiii.
Rukwa unatoboa kirahisi mara 1000 kuzidi Daaaslam.

Tengeneza hata Mkokoteni peleka pale sokoni wanakodisha Vijana wa Kihutu.

Nunua Powertilla somba tofali za kuchoma.

Nenda kule Muzzye anza kupanda Mpunga kwa Wakulima Ekari moja elfu 30.

Rukwa ni rahisi kutoka. Hapo sijagusia kununua Nafaka.
 
Mkuu punguza ubishiii.
Rukwa unatoboa kirahisi mara 1000 kuzidi Daaaslam.

Tengeneza hata Mkokoteni peleka pale sokoni wanakodisha Vijana wa Kihutu.

Nunua Powertilla somba tofali za kuchoma.

Nenda kule Muzzye anza kupanda Mpunga kwa Wakulima Ekari moja elfu 30.

Rukwa ni rahisi kutoka. Hapo sijagusia kununua Nafaka.
Acha mzaha basi Kwa biashara ga I iliyopo mkoa huo? Njoo Katavi utakufa maskini huko Rukwa
 
Ta
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Bora ngumu kutoboa? Labda huujui kutafuta hela aisee!
 
Kilimanjaro ni vigumu kama huna brain kubwa. Ni sawa na kwenda ku fight maisha Marekani ukadhani ni rahisi.
Kilimanjaro asilimia kubwa sana ni watafuta pesa, sio watumia pesa, hivyo kuwa na kitu Cha kuuza kule kinatakiwa kuwa na demand ya kweli kweli.
Hakuna cha brain kubwa...

Ukabila na vijicho kwa wageni ni tatizo hapa Kilimanjaro full stop.
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Na je hiyo mikoa, Ina wabunge wengi wa vyama pinzani? Au ccm?.Tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom