Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Rukwa ni kweli wenyeji wamezubaa (ila wachapakazi) na uzuri sio wakabila, wageni wamekamatia fursa hasa Sekta ya Kilimo. Ukiwekeza kwenye Kilimo umetoboa ila uwe mbunifu pia wa kutafuta masoko nje ya mkoa wa Rukwa utapata faida hata mara mbili mpaka tatu.
Hapa unazungumzia mkulima mkubwa au mfanyabiashara ndio wanaweza kutafuta soko nje ya Mkoa.

Vipi wakulima wadogo? Kwa nini hao wanunuzi wasije wenyewe? Unakoenda kuuza ndiko wanapata mzunguko wa hela nyie mnasalia kupiga miayo kusubiria mavuno mengine.

Mikoa ya hivyo huwezi toboa ,Bora hata uende Lindi ukalime korosho.
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Mbona kote huko utafutaji unaendelea na watu wanafanikiwa? Labda ni ngumu kwako wewe Jamaa.
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Hiyo mikoa ya Rukwa na Kigoma,inategemea wewe umeenda huko kujitafuta kwa mtindo gani.Lakini mikoa kama Rukwa na Kigoma,ni mikoa yenye ardhi ya kutosha na yenye rutuba inayofaa kwa kilimo na inapatikana kwa bei nafuu.
Siongei kwa kudhani tu,bali nimeshuhudia na mimi ni mmoja wa wanufaika wa ardhi ya mikoa hii.
 
Sheria ya utafutaji niliyo ipitisha mm mwenyewe inasema; Usiende kuvua samaki jangwani, kwasababu hauto wapata.
 
Hautoboi ukifanya biashara gani?

Taja mkoa na biashara gani hautatoboa. Mfano ukienda Makete kuuza mafriji ni wazi utasumbuka kutoboa. Lakini ukienda kuanzisha kampuni ya kutengeneza shower heads na kuziwekea heater unaweza ukawa na soko constant
Umewaza vema
 
Niweke Mkoa gani? Rukwa ni Kati ya Mikoa maskini Tanzania na inaongoza Kwa utapiamlo 😂😂

Kwanza nyie watu wa Rukwa mshukuru walau watu wa Kanda ya Ziwa wanawapa soko vinginevyo mungepauka na bei zingeporomoka mara 3 zaidi kama Ruvuma.

Mikoa iliyo jirani na Dar,Arusha,Dom na Kenya au hata Kanda ya Ziwa ndio wanapiga hela za mahindi Kwa bei nzuri
Acha kutukana watu km hujafika Rukwa usiongee usivyo vijua,tumekeambia itoe Rukwa kwa sababu watu tunapigia maisha huko achana na takwimu za wasomi wa Tanzania
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Rukwa umeikosea sana. Ardhi ipo yakutosha na demand ya mazao ni kubwa, Kuna maziwa mawili Rukwa na Tanganyika. Labda wewe hujaamua kufanya kazi hapo unataka pesa za zari. Ila kutoboa ni waziwazi
 
Hiyo mikoa ya Rukwa na Kigoma,inategemea wewe umeenda huko kujitafuta kwa mtindo gani.Lakini mikoa kama Rukwa na Kigoma,ni mikoa yenye ardhi ya kutosha na yenye rutuba inayofaa kwa kilimo na inapatikana kwa bei nafuu.
Siongei kwa kudhani tu,bali nimeshuhudia na mimi ni mmoja wa wanufaika wa ardhi ya mikoa hii.
Sana mkuu,Kuna watu humu,wanadhani kutoboa mpaka uwe na duka au kuwe na super market kuubwa ndio wafikiri Kuna pesa,ukweli ni kwamba Rukwa pesa IPO Tena nyingi
 
Rukwa umeikosea sana. Ardhi ipo yakutosha na demand ya mazao ni kubwa, Kuna maziwa mawili Rukwa na Tanganyika. Labda wewe hujaamua kufanya kazi hapo unataka pesa za zari. Ila kutoboa ni waziwazi
Wapi ambako hakuna ardhi ya kutosha? Kigoma au Lindi ama Tabora au wapi huko?

Mwisho hakuna takwimu mbaya ambayo Rukwa haikosi,Ardhi pekee hazitoshi kuondoa umaskini
 
Sana mkuu,Kuna watu humu,wanadhani kutoboa mpaka uwe na duka au kuwe na super market kuubwa ndio wafikiri Kuna pesa,ukweli ni kwamba Rukwa pesa IPO Tena nyingi
Rukwa mnaijua nyie kweli au ndio mazoea ya kuishi kwenye umaskini?

Hata Kwa macho tuu Rukwa au pale Sumbawanga unafananisha na Kigoma? Labda inazidi Lindi tuu
 
Waarabu nyakati za ukoloni walitafuta maeneo yenye fursa nyingi ili kutoboa maisha.. llikuwa rahisi sn kumkuta Mwarabu na Wabaluchi (Wabulushi) akiwa maeneo ya vijijini kule Usukumani.. kwa sababu ya fursa za kibiashara za mifugo ama ngozi za mifugo..ukitaka kujua fursa zilizopo maeneo ya wafugaji muulize Rostam Aziz..
 
Wapi ambako hakuna ardhi ya kutosha? Kigoma au Lindi ama Tabora au wapi huko?

Mwisho hakuna takwimu mbaya ambayo Rukwa haikosi,Ardhi pekee hazitoshi kuondoa umaskini
Mikoa ya Rukwa,Katavi na Lindi imechangamshwa na wahamiaji kutoka kanda ya ziwa, km ilivyo Kigoma kwa sasa baada ya Wasukuma kuvamia mabonde na kuzalisha Mpunga kwa wingi.
 
Back
Top Bottom