Nilijua unataka tuchangie Uzi wako na tuseme tuyajuayo kumbe unataka ligi haha tumekubali kuwa Rukwa huwezi toboa furhahi wewe👏👏👏Rukwa mnaijua nyie kweli au ndio mazoea ya kuishi kwenye umaskini?
Hata Kwa macho tuu Rukwa au pale Sumbawanga unafananisha na Kigoma? Labda inazidi Lindi tuu