Nilichokiandika Ni kipana kuliko ulivyofikiri.Ina manq maskini wote hawana akili?
Nonsense and intangible! Unazungumzia personal characters za wahanga wa mfumo unaozalishwa umaskini. Swali ni kwamba ina mana maskini wote hawana hekima?Nilichokiandika Ni kipana kuliko ulivyofikiri.
Rudia Tena kusoma.. HaKuna neno Akili Kuna mbungi ( Hekima )......Hekima za namna gani ? Hapo jipambanue uone unapungukiwa Nini ? ... Na mwisho inaweza kufikia ulikowahi kutaja ( Akili ) endapo Miaka nenda Rudi utasumbuka na Jambo Moja ( Umezidiwa akili ).
#wazee wa Miji Mshana Jr
Soma Tena Mr . Nonsense.Nonsense and intangible! Unazungumzia personal characters za wahanga wa mfumo unaozalishwa umaskini. Swali ni kwamba ina mana maskini wote hawana hekima?
Sahihi mkuu, huyo jamaa hajatambua kwamba umaskini wake upo kichawani.Hoja yako imejikita kwenye simple observertion na hauna fact za kujua code za mkoa mwishoni umehamia kufananisha mionekano ya miji ambapo kipimo chako pia Chakupima miji ni sahihi kiasi Gani mpaka kiwe na mamlaka ya kudogosha miji Fulani?( labda wewe unaona uwepo wa madanguro ndio kutoboa? Huwezi kuwa sahihi). Masikini Kila sehemu wapo. Tatizo ni lipo kichwani ndilo linakufanya uone Kila kitu ni tatizo pale thus wazoefu wa Rukwa wamekupinga.
Mkuu umaskini wao haukuhusu mkoa flani kua maskini haimaanishi hakuna fursa hapo, kinachotakiwa wewe unatakiwa kuziona hizo fursa.Hujaona facts hapo Juu? Mkoa wa Rukwa uko top 10 ya Mikoa maskini,upo top 10 ya Mikoa ambayo inakusanya pesa kiduchu na uko top 10 ya Mikoa inayoongoza Kwa udumavu.
Facts zipi tofauti na hizo? Ulishawahi ona wapi Mkoa unategemea mahindi ukawa na mzunguko wa hela?
Mwisho hukuwahi soma visual observation? Makazi ya watu wa Sumbawanga na Mji kupooza ni ushahidi tosha wa umaskini.
Mkoa Ukiwa maskini lazima Kuna limited fursa na ushindani mkubwaMkuu umaskini wao haukuhusu mkoa flani kua maskini haimaanishi hakuna fursa hapo, kinachotakiwa wewe unatakiwa kuziona hizo fursa.
Endelea kujidanganya,hakuna muujiza kwenye ukameSahihi mkuu, huyo jamaa hajatambua kwamba umaskini wake upo kichawani.
Liwale,Ruangwa,Nachingwea nkMfano wilaya Gani?
Nakuongezea. Mnpakana na mikoa kame kama shinyanga, mwanza nk hivyo ni fursa kuwauzia chakula.Usipotoboa ukiwa Kagera utakuwa mwehu
Fursa za uvuvi
Kilimo cha kahawa
Ufugaji
Tumepakana na nchi za Uganda, Burundi, Rwanda
Kilimo cha miwa, ndizi, maharage n.k
Usafirishaji
Madini ya bati, nikel, ardhi yetu Kagera ina rutuba
Tabora,rukwa,simiyu,kigoma, Kilimanjaro Kuna ukame ?Endelea kujidanganya,hakuna muujiza kwenye ukame
FafanuaMkoa Ukiwa maskini lazima Kuna limited fursa na ushindani mkubwa
wewe upo mkoa gani na umetoboa mpaka wapiWewe umetoboa Kwa lipi kweymkoa.huo wenye watu mafukara na poor purchasing power?
Huku tayari Kuna koo za biashara within ku breakthrough mtu wa nje ni kazi Sanaa...na vita ni kubwa mno watakupoteza mapema sanaKilimanjaro ni mbaya zaidi kwa utafutaji.
Wachaga na Wapare mkoa wenu hovyo kabisa kwa utafutaji...yaani sufuri
Ukabila unawatesa wachaga that is why ni ngumu sana kumkuta msukuma anahamia uchaganiHuku tayari Kuna koo za biashara within ku breakthrough mtu wa nje ni kazi Sanaa...na vita ni kubwa mno watakupoteza mapema sana
Labda awe mfanyakazi wa wachagga...wachagaa OG hata ardhi hawauzi..ni kama zenji na wabara tu..Ukabila unawatesa wachaga that is why ni ngumu sana kumkuta msukuma anahamia uchagani
Tanzania hii popote hata mjinga anaweza kuishi na kutoboa.. watu.wanauza mihogo hadi city centreHujaweka Morogoro?
watu wamekariri mahindi ila ni karibia vitu vingi kupeleka kenya return ni kubwa kuliko kuuzia hapa bongoNiweke Mkoa gani? Rukwa ni Kati ya Mikoa maskini Tanzania na inaongoza Kwa utapiamlo 😂😂
Kwanza nyie watu wa Rukwa mshukuru walau watu wa Kanda ya Ziwa wanawapa soko vinginevyo mungepauka na bei zingeporomoka mara 3 zaidi kama Ruvuma.
Mikoa iliyo jirani na Dar,Arusha,Dom na Kenya au hata Kanda ya Ziwa ndio wanapiga hela za mahindi Kwa bei nzuri