Nimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
Ulisafiri mwezi wa ngapi?Nimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
...Research Yako Umefanyia Tanzania Kweli ? Au Umekaa TU Mezani ukaandika Utafiti wako ?? Tembea Ujionee !Nimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
Utafiti wqko ulitakiwa uanze na definitions kama Jangwa ni nini?Nimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
Ni kweli ukataji miti ni mara nyingi zaidi ya kasi ya upandaji katika nchi yetu. Mapori mengi yanaendelea kubaki wazi. Wenzetu wa environment conservation sijui wanalionaje hili.Mikoa sio Jangwa mvua zinanyesha mpaka zinaleta madhara ni kwamba Watanzania hatupandi miti hatuna operation ya kupanda miti mfano watangaze kupanda Miti milioni mbili Nchi nzima kwa mwaka mmoja faida yake itaonekana miaka ya mbele na pia hali ya hewa itakuwa safi kwa mikoa mingi...
....Mbeya na Mara NADHANI ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.... hivi umefanya Utafiti halafu unakuja na matokeo ya kudhania?! shida kweli.Nimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
Njombe,Songwe,Katavi,Kigoma,Ruvuma sio jangwaNimefanya research mikoa mingi Tz ni jangwa kama ukisafiri kwa kwa basi utakua Shahidi
Mikoa ambayo ni jangwa KONK ni Moshi/Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Dodoma, Singida, Iringa, Tabora, Kahama, Mwanza, na Shinyanga.
Mbeya, na Mara nadhani ndo mikoa isio na sehemu ya jangwa.
Duh! Kama akisema ndo wenyewe, basi hapo ujue tumepigwa na kitu kizito.Umekopesha akili au hizi ni za kwako? Ubongo wako ume-hackiwa au ndio wenyewe?
Hakuna wanachofanya maana hawajui madhara ya kukata miti bila kupanda miti na sidhani kama upo mfuko wa kupanda miti kila Mkoa...wanachojua ni kununua Viete ya DED basi...N
Ni kweli ukataji miti ni mara nyingi zaidi ya kasi ya upandaji katika nchi yetu. Mapori mengi yanaendelea kubaki wazi. Wenzetu wa environment conservation sijui wanalionaje hili.