Mikoa mipya Tanzania

Mikoa mipya Tanzania

Manyara itoe maana ni agemate na mishangazi ya humu.

GenZee ni Geita, Njombe, Simiyu, Songwe na Katavi.
Kwa utajiri ama uchumi kuna Geita, Njombe, Songwe.
Hata kibiashara na uwekezaji wako njema.
Kilimo ni Katavi, Njombe, Geita na Songwe.
Ufugaji wa fisi ni Simiyu. kwa upande wa viwanda simiyu wanaweza fika mbali kama wataenda na kasi ya sasa.
 
bado mkoa wa ccm hawawatu ukiwapa wafike mpaka 2300 mpaka na majina ya ccm watalazimisha tutumie
 
Manyara itoe maana ni agemate na mishangazi ya humu.

GenZee ni Geita, Njombe, Simiyu, Songwe na Katavi.
Kwa utajiri ama uchumi kuna Geita, Njombe, Songwe.
Hata kibiashara na uwekezaji wako njema.
Kilimo ni Katavi, Njombe, Geita na Songwe.
Ufugaji wa fisi ni Simiyu. kwa upande wa viwanda simiyu wanaweza fika mbali kama wataenda na kasi ya sasa.
Hahaha Simiyu na fisi ni damudamu
 
Back
Top Bottom