mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kwa maisha ya dunia ya sasa ukizaa watoto watano au sita kuna ubaya gani??
Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.
Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.
Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,
Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.
Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.
Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.
Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.
Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.
Huku ni kama kuhujumu uchumi
NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate
Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha
Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.
Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.
Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,
Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.
Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.
Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.
Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.
Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.
Huku ni kama kuhujumu uchumi
NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate
Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha