Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
KweliUkitoa wasukuma ,na wamasai ,wachaga ni kabila la tatu kwa idadi ya watu, upo sahihi.
Hayo maeneo ya wazi sio ya kwako(huwa kuna raia wengi wajinga wajinga wakikuta eneo liko wazi wanajikalia tu halafu wakija kufurumishwa na mwenyewe tunaona wanavyopiga mayowe kumlilia Rais), pia hayo maeneo ya wazi sio ya binadamu pekee, Nchi yako inategemea utalii kama chanzo kikubwa cha mapato kwa hiyo maeneo mengine ni kwa ajili y Simba, Sokwe, fisi, tembo, nyati n.k. Mkiyamaliza maeneo ya utalii mtapiga miyao zaidi kwa njaa na ukata.Napinga hoja yako mkuu.
nchi yetu bado sana tuna maeneo mengi sana ya wazi ambayo hayajagushwa toka dunia iundwe.
Ni upuuzi kuzaliana sana ili eti mjulikane, Mbona watu wengi wanazijua Canada, Denmark, Norway, Urusi, Australi na Saudi Arabia na wako wachache??leo hii nani hawajui wanaijeria,dunia nzima wame jaa kutokana wamezaliana sanaaa.
mkuu acha unafiki na ubaguzi wa kanda.
Yoda atakwambia hao ni wanaharakati uchwara wa overpopulation.Kwanza kabisa, suala la kuzaa ni la haki za binadamu, kila mtu ana uhuru wa kuzaa anavyotaka.
Lakini, kwa kuwa umeleta hii hoja, mimi pia nafikiri Tanzania tuna tatizo la kuzaa sana.
Nchi nzima, si kanda fulani tu.
Hata watoto watano au sita ni wengi sana.
mkuu iyo ni imani yako siwez kukubadilisha.lkn leta hoja za mantiki kwa wadau tuzijadili,sio ubaguzi unaoleta apa.Hayo maeneo ya wazi sio ya kwako(huwa kuna raia wengi wajinga wajinga wakikuta eneo liko wazi wanajikalia tu halafu wakija kufurumishwa na mwenyewe tunaona wanavyopiga mayowe kumlilia Rais), pia hayo maeneo ya wazi sio ya binadamu pekee, Nchi yako inategemea utalii kama chanzo kikubwa cha mapato kwa hiyo maeneo mengine ni kwa ajili y Simba, Sokwe, fisi, tembo, nyati n.k. Mkiyamaliza maeneo ya utalii mtapiga miyao zaidi kwa njaa na ukata.
family planning fanya ww na familia yako,uko ume enda kwenye tamaduni za wahenga.hahaaaNi upuuzi kuzaliana sana ili eti mjulikane, Mbona watu wengi wanazijua Canada, Denmark, Norway, Urusi, Australi na Saudi Arabia na wako wachache??
Nigeria pia ni nchi ya kipuuzi sana ndio maana raia wake wengi wamekuwa matapeli na wauza dawa za kulevya kwenye nchi nyingine, hiyo sio nchi ya kupigiwa mfano.
Mimi siongelei imani, naongelea uhalisia na facts.mkuu iyo ni imani yako siwez kukubadilisha.lkn leta hoja za mantiki kwa wadau tuzijadili,sio ubaguzi unaoleta apa.
Tanzania imeshajaa, wewe zaa kwa sababu zako nyingine ila sio kwa sababu za kuijaza Tanzania.Sasa tusipo zaa Tanzania kubwa hiii itajazwaje?
Mimi siongelei imani, naongelea uhalisia na facts.
fact yako haiendani na tz resources.Mimi siongelei imani, naongelea uhalisia na facts.
Kilimanjaro wanashida gani? Mbona wamegoma kuzaa?Kigoma unayoitaja haipo kwenye Mikoa ambayo watu wanazaana sana tena Iko chini ya Wastani wa kitaifa,labda una chuki binafsi 👇👇View attachment 3065256
maskini kuzaa watoto wengi ni hasara tu na mara nyingi wanaishia kuwa maskini zaidiUnajua elon musk ana watoto wangapi? Anao 12 na kachoka kutumia paipu sshv anafanya tu invitro fertilization
Ni nature yetu waafrika kuzaa sana, lkn sion ubaya wowote. Kukiwa na watoto wengi kunakua na probability kubwa ya kupata vipaji vingi, japo ni double edged sword
Kama unatumia jembe la mkono na huna elimu ya kilimo hata uwe na ejari 1000 unakuwa ume underutilize resouces,so watoto ni luability sababu ya poor techn9logy and lack of capital to utilize resouces availabeMimi nadhani tuisianglie kuzaliana bali tuangalie resources available, je hao Kigoma pamoja na kuzaliana vipi kuhusu resources ni under utilization au overutilization, kwangu tatizo sio kuzaa, tatizo ni hao wanaozaliwa wanakuwa liability badala ya Asset
Hiyo kazi ya kuzaa wanaiujua sana hawa ndugu zetuBila shaka wew ni mtumishi wa afya,kigoma hasa kibondo usiombe uwe upande wa kuhudumia watoto na wajawazito,mpaka unakosa muda wa kunywa chai
Sijui huwa nipoje siku za clinic nikionaga wamama wanaongozana na watoto wao mgongon naona ndo kama kazi ambayo wanawake wameshabakiza hapa dunian