Mikoa ya Mbeya, Kagera, Mtwara ina kiwango cha chini cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Mikoa ya Mbeya, Kagera, Mtwara ina kiwango cha chini cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kiwango cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango nchini hadi kufikia Machi 2024

Vipandikizi - 38.3%
Sindano - 23.1%
Vidonge - 11.3%
Njia za Asili - 11.1%
Kondomu - 10.4%
Vitanzi - 4.6%
Kufunga Kizazi - 0.4%

Mikoa yenye Kiwango Kikubwa cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Mara - 38.1%
Kigoma - 37.0%
Kilimanjaro - 34.4%
Katavi - 32.5%
Geita - 32.4%

Mikoa yenye Kiwango cha Chini cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Mbeya - 28.7%
Kagera - 24.5%
Mtwara - 23.9%
Songwe - 23.6%
Lindi - 22.3%

AFYA: Kwa mujibu wa Wizara ya Afya Tanzania, kati ya Julai 2023 hadi Machi 2024 jumla ya Watumiaji wa Njia za Kisasa za Uzazi wa Mpango walikuwa 6,702,212 (58.75%) ya Wanawake wote walio katika Umri wa kupata Ujauzito.
 

Attachments

Kiwango cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango nchini hadi kufikia Machi 2024

Vipandikizi - 38.3%
Sindano - 23.1%
Vidonge - 11.3%
Njia za Asili - 11.1%
Kondomu - 10.4%
Vitanzi - 4.6%
Kufunga Kizazi - 0.4%

Mikoa yenye Kiwango Kikubwa cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Mara - 38.1%
Kigoma - 37.0%
Kilimanjaro - 34.4%
Katavi - 32.5%
Geita - 32.4%

Mikoa yenye Kiwango cha Chini cha Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango Tanzania

Mbeya - 28.7%
Kagera - 24.5%
Mtwara - 23.9%
Songwe - 23.6%
Lindi - 22.3%

AFYA: Kwa mujibu wa Wizara ya Afya Tanzania, kati ya Julai 2023 hadi Machi 2024 jumla ya Watumiaji wa Njia za Kisasa za Uzazi wa Mpango walikuwa 6,702,212 (58.75%) ya Wanawake wote walio katika Umri wa kupata Ujauzito.
Tunaomba kujua na wilaya pia
 
Back
Top Bottom