Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
Mimi naona ni bora kachungulia humo kwa sababu sasa angalau atakuwa na idea huyo mkewe ni mtu wa aina gani. Jamaa hajakosea hata kidogo.
unatakiwa umjue mkeo kabla hujaoa,kuvikuta hivyo vitu haimaanishi infidelity imetake place.....labda amepewa amshikie mtu unajuaje???LOL:redfaces: