Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
ni mwili mmoja , hivyo vya mke ni vyake pia
Na atakavyovikuta ni vya kwake pia...:teeth::teeth::teeth:
kwanza unatakiwa uwe na communication na mkeo,angeuliza kwa upole labda mkewe anataka kufanya mautundu mapya kitandani...amechoka kila siku kutumia voda,unajuaje?...ameleta 'zana'...za kutumia...LOL:teeth::teeth:,majibu kwa kweli anayo huyo mwanamke...hapa tutafanya guesswork...ambayo nadhani wengi wetu watamuhukumu tu bureee...