Mikoba ya Kina dada ina Mambo!

ni mwili mmoja , hivyo vya mke ni vyake pia

Na atakavyovikuta ni vya kwake pia...:teeth::teeth::teeth:
kwanza unatakiwa uwe na communication na mkeo,angeuliza kwa upole labda mkewe anataka kufanya mautundu mapya kitandani...amechoka kila siku kutumia voda,unajuaje?...ameleta 'zana'...za kutumia...LOL:teeth::teeth:,majibu kwa kweli anayo huyo mwanamke...hapa tutafanya guesswork...ambayo nadhani wengi wetu watamuhukumu tu bureee...
 
 
Kuna vitu ukiwa na mume lazima viwe wazi.

Mume anaruhusika kufungua simu ya mke pia akitaka na akikuta asichokielewa ana kila haki ya kusaili.

Asiumize kichwa sana kwa dhana wakati akimbana mkewe atapata ukweli wote
 
Huwa tunaiita NILALE WAPI aka self contained, naambiwa ina kila kitu kinacho faa kwa kazi.
MADA: Hii mkuu hata sijui nasemeje manake mtu ukiwa na bunduki ni wazi una wasiwasi na adui na muda wowote waweza kupambana, sasa huyu mama hayo ma KY na ndom anatumia na nani au alikuwa na mpango wa kutoa kitchen party kwa bintitiye. Ndoa zina mambo
heri mimi sioi!!
 

muite mkewe kitubioni halafu umtubishe! We si rev bana!
 

Hii kali..ina maana unajihami kabla ya tukio au una react after the fact?
 
Hii kali..ina maana unajihami kabla ya tukio au una react after the fact?

Before the fact...

Just think about it for a sec....

Things that you are guilty of don't hurt as much as things you aren't guilty of....
 

Mtego huo,
never confront your spouse until you're certain that you have enough evidence to make your case.
 
Nyani Ngabu Nyani Ngabu acha kukoleza moto hawa watu tayari kuna vuguvugu ndani ya nyumba sasa ukimshauri mume naye akamege nje bomu la scud litalipuka itakuwa balaa. Kikubwa ni mume amface mkewe amwulize inakwenda kwendaje na mambo ya mipira nk. Utakuta pengine kuna tatizo kwenye mambo ya unyumba sasa itakuwa njia mojawapo ya kutafuta njia mbadala wa kutatua tatizo.
 

Hapana Pakawa, dawa ya infidelity ni infidelity tu. Baada ya hapo ndo mnaweza sasa kukaa na kuongea hadi pengine kufikia maelewano au makubaliano maana wote mtakuwa even stevens.
 
K-Y tena ? wallai ntaua mtu .
 
for the married couple respect and trust to each other ni muhimu..but ikipitiliza kama ya huyo mama kwa defend ya kutopekuliwa begi nadhani imepita mipaka..kosa ni kosa tu...
 
unatakiwa umjue mkeo kabla hujaoa,kuvikuta hivyo vitu haimaanishi infidelity imetake place.....labda amepewa amshikie mtu unajuaje???LOL:redfaces:
Khaaa nimepata confusion. Sijui polisi huwa wanatumia vigezo gani kumshitaki mtu aliyekutwa na mali inayodhaniwa kuwa ni ya wizi. Huyu naye mwizi tu
 
Ebo, we mwanaume vipi? Ulitaka asitumie condom? Mkeo anakujali
 
Ebo, we mwanaume vipi? Ulitaka asitumie condom? Mkeo anakujali

Unajuaje kuwa anatumia wakati wote? labda anatumia akihisi kuna hatari ya mimba au Ukimwi na akihisi shwari anakanyaga mwendo!
 
mmh K.Y jelly = tiqo inatumika kwa sana duh?????????????
 

Duh nimekuogopa, naona unafurahia mambo ya sodoma na gomora mmh
 
Asimuulize kitu huyo,aendelee kumchunguza,kama an cheat ipo siku atajisahau tena.
 
Rev.......... huu ugonjwa wa moyo, seriously mm i will inspect her tigo carefully, kama imeliwa lazima nitajua, na kuchunguza mikoba ya akina mama that is good move, ili kuwajua maana hii hatari, K-Y this is special for O, mmmmmmmhhhhhh yaweeeeeee tayari kapigwa poooool, kaahh mm ningemwuita na kumwenyesha na kumchunguza O, how ilivyo liwa, inauma......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…