Mikoba ya Kina dada ina Mambo!





ha ha ha ukikuta imetumika saaaaana utafanyaje ?
 
Mke alikuwa anampima tu jamaa, sidhani kama kweli anacheat ataacha evidence nje nje hivyo. Mwambie jamaa asipate presha.
 
[/COLOR]


ha ha ha ukikuta imetumika saaaaana utafanyaje ?

Naiendeleza maana nadhani ndio anapenda, nitamwuliza, kisha naendeleza, maana ndio utamu wake anaposikia, that is a practical solution, mwanamke aliyezoea tigo, hata umle voda namna gani hasikii, O balaa, so lazima umridhishe, usipofanya hivyo atakuita mshamba, uliza utaambiwa, i am serious
 
Achana na akina mama aisee...ni watu wa siri sana na wanajua sana kucheza na maneno na nyakati pia...

ANGALIZO KWA WANAUME JAMANI...JARIBUNI KUWAHOJI WAKE, MARAFIKI ZENU WA KIKE PALE UNAPOSUSPECT KITU, MAANA KUKAA KIMYA NI MBAYA SANA HASA KWA WATU AMBAO MANAISHI WAWILI MPAKA KUFA.... USIRI USIWEPO PALE UNAPOKUWA NA WASI WASI NA KITU KWA MWENZIO.......HILI PIA LINA-APPLY HATA KWA MWANAMKE....


Nawasilisha..
 
Wife siku hiyo alimletea mmewe wajaribu hako ka mchezo.
Na hizo condom ili azuie mimba maana siku hiyo ilikuwa ni danger zone.
 

ushauri mzuri.
 

Asante mie condom hainipi taabu sana ningemuuliza tu hiyo K.Y jelly inafanya nini humo? baaaasiii! Pia ningeomba anifafanulie kwa uelewa wake inavyotumika
 

Nimependa vile unavyomudu kubuni hoja za kupangua hii kesi. I wonder kama umeolewa au utakapoolewa mumeo atakukamatia wapi?
 

Nakubaliana na wewe mama... Ila wanandoa wakumbuke bora kuzuia kuliko kutibu. Kabla hujaanza kutibu kwa kuhoji, bora uzuie kwa kutomchunguza sana mwenzio...
 

Alikosea....si vizuri kupekenyua mkoba au simu ya mwenzi wako...jamaa yangu mmoja aliwahi kufanya hivyo akakuta Nyundo na kisu vyote vikiwa na damu...hakulala nyumbani wiki kwa hofu
 

hiyo ndoa itakuwa imeshajifarikia cku nyingi....watu hawaoi wanajidai tu wengine hawajui haya mambo vzr, khaa hakuna cha ndoa wala nn kila mtu ana cri zake binafc, na zinabakia binafc(kwangu mie).... mwanamke anaecheza rafu na kukamatwa ni " mpuuzi" wa mwisho, bora usicheze kabisa, utawekaje hayo madude kwenye handbag? halafu unaibwaga tu hapo waaahhh...mjinga huyu....
 
  • unatakiwa umjue mkeo kabla hujaoa,kuvikuta hivyo vitu haimaanishi infidelity imetake place.....labda amepewa amshikie mtu unajuaje???LOL:redfaces:
Fab....hakunaga kujuana mkiwa bfnd/gfnd/uchumba....hata mkikaa miaka 10 hamtajuana kiundani, subiria muanze kujambiana kwenye mablanketi ndio kila mtu atamjua kumbe huyu c wa njano bali wa pink....hii sector haitabiriki jamani, na hakuna anayoenda nayo sawa 100%, kuna raha na karaha za kumwaga.
 
I agree with you...always be defensive au vipi!!
 

hii ni kweli kabisa!Nadhani kwa upande wenu nyinyi wakina daa hii maneno ndo inaapply sana, kipindi cha uchumba mnafanana kama watakatifu, baada ya ndoa balaa linaanza!
 
Asimuulize kitu huyo,aendelee kumchunguza,kama an cheat ipo siku atajisahau tena.

na kwa huyu mwanamke nilivyomuona yupo yupo tu hata haitachukua muda atakamatika....wakina dada/mama kama hamuwezi hizi game bora muachie wenye fani zao, iwe vyo vyote iwavyo, ni vyake ni vya nani lakini hakutakiwa kumweka hubby kwenye wac wac nae wa hali ya juu kiac hiki, hapo hata kama vp hubby hatakuwa na imani nae tena, kama alikuwa anafanya kwa kujificha ataanza ya kuonekana kabisa...
 
mke alikuwa anampima tu jamaa, sidhani kama kweli anacheat ataacha evidence nje nje hivyo. Mwambie jamaa asipate presha.
maneno ya kutiana moyo haya!
Kweli bwana!
 
hii ni kweli kabisa!Nadhani kwa upande wenu nyinyi wakina daa hii maneno ndo inaapply sana, kipindi cha uchumba mnafanana kama watakatifu, baada ya ndoa balaa linaanza!

Bacha....hapo hakunaga mwanaume/mwanamke....ngoma droo, ila naogopaga wanaume wapole....ndio funga kazi hao!....bora umpate yule chakaramu chakaramu fulani, wale wa kuinamisha shingo...pweehhh wengi wa ma frnd zangu wamelizwa sana.
 
Asante mie condom hainipi taabu sana ningemuuliza tu hiyo K.Y jelly inafanya nini humo? baaaasiii! Pia ningeomba anifafanulie kwa uelewa wake inavyotumika
K.Y jelly HIII YA NINI SASA??
 
Alikosea....si vizuri kupekenyua mkoba au simu ya mwenzi wako...jamaa yangu mmoja aliwahi kufanya hivyo akakuta Nyundo na kisu vyote vikiwa na damu...hakulala nyumbani wiki kwa hofu

haya maisha bwana...kuna wakati tu mtu unajikuta una kiherehere cha kufanya kitu....ndio yanatokea ya kutokea......
 
Nimesoma mpaka mwisho nimekosa hata la kuchangia ..:redfaces:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…