Smiling Saint, Me naijua Ming'oko, ni aina fulani ya mizizi imekaa kama Mdaa...........sidhani kama ndio hiyo unayomaanisha mpenzi!!!!!!!!
Smiling Saint, Me naijua Ming'oko, ni aina fulani ya mizizi imekaa kama Mdaa...........sidhani kama ndio hiyo unayomaanisha mpenzi!!!!!!!!
Ila Kwa Mikongoraa............sidhani
Smiling Saint huyo jamaa Erickb52 asikudanganye anaijua sana na ashakula sana
Kuna imani inaongeza ukubwa wa naninihino ila sidhani kama kuna ukweli aise
Ipo sana mitaani wengine wanasema inasafisha tumbo wengine ndio hizo imani ila sina uhakika bana
haya mkuu nimekuelewa ila ukipata jibu jipya, naomba unijulisheMkuu Smiling Saint sijawahi kula hiyo kitu na naiona barabarani kwa wauzaji ila sijawahi hata kuuliza ina matumizi gani Hiyo ya tumbo nilimuona jamaa yangu tena sio hapa Arusha ila Dar ndo nikamuuliza hii unakula kwa nini ndio akanipa taarifa za kwamba inasaidia tumbo pia Na nilimuuliza the same question kuwa mbona wanasema inaongeza nanihino ila alinipa jibu hilo hilo kuwa hana uhakika Erickb52 anaijua bana mkazi wa Arusha aiijue mkongoraa aise
Hahahahahaaa aisee mi siijui kiukweli labda Mr Rocky afanye mpango wa kuelekeza iliko nikaiangalie ikojeSmiling Saint huyo jamaa Erickb52 asikudanganye anaijua sana na ashakula sana
Kuna imani inaongeza ukubwa wa naninihino ila sidhani kama kuna ukweli aise
Ipo sana mitaani wengine wanasema inasafisha tumbo wengine ndio hizo imani ila sina uhakika bana
Wewe ndio unaijua na umeshaitumia wakati unatafuta kukidhi viwango kwa Madame B lolMkuu Smiling Saint sijawahi kula hiyo kitu na naiona barabarani kwa wauzaji ila sijawahi hata kuuliza ina matumizi gani
Hiyo ya tumbo nilimuona jamaa yangu tena sio hapa Arusha ila Dar ndo nikamuuliza hii unakula kwa nini ndio akanipa taarifa za kwamba inasaidia tumbo pia
Na nilimuuliza the same question kuwa mbona wanasema inaongeza nanihino ila alinipa jibu hilo hilo kuwa hana uhakika Erickb52 anaijua bana mkazi wa Arusha aiijue mkongoraa aise
Hahahahahaaa aisee mi siijui kiukweli labda Mr Rocky afanye mpango wa kuelekeza iliko nikaiangalie ikoje
Wewe ndio unaijua na umeshaitumia wakati unatafuta kukidhi viwango kwa Madame B lol
Hahahahaaa mkuu kuziba mashimo yasiyojaa ni kazi sana aisee lol|We hapo hapo majengo mbauda unakokaa imejaa tele bana usitake kukwepa hapa Erickb52
We unanitafutia kesi kwa Madame B wakati hata utani nae sina aise Madame B hahitaji mtu wa kuongezea power kwa miti shamba anataka nguvu natural bila chenge na ukiwa nae sio wa dak tano unahema kama kuku wa kisasa unatakiwa uende Saa nzima
Erickb52 utaachwa aise bora uanze kutafuta dawa za kimasai maana kamoja tuu mbonji watakukimbia fasta aiseHahahahaaa mkuu kuziba mashimo yasiyojaa ni kazi sana aisee lol
Huwezi kushindana na ulikotoka utabaki kuumia tu bora tulizooea kamoja tu mbonji!