Mikono inapiga shoti nikishika chuma chochote au hela ya sarafu (Coin)

Mikono inapiga shoti nikishika chuma chochote au hela ya sarafu (Coin)

Mr PARE

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2017
Posts
780
Reaction score
520
Habari wapendwa?
Kama kichwa cha habari kinavosema..hiyo hali imenianza juzi....msaada tafadhali!!

[HASHTAG]#Shukrani[/HASHTAG]
 
Nataka kugonga like kwenye hiyo avatar yako tatizo sioni pa kubofya[emoji23] [emoji23] [emoji23]
😀😛😀😀 hahahaahaahahh, umeona eeee mzee ananyapia nyapia vibinti hahahahahahaahahaha. habari za asubuhi mkuu
 
Mimi siyo daktari lakini swali ni je hukumeza kitu chenye kuakisi umeme kweli na kimo kwenye damu yako au kimebana kwenye utumbo? Angalia kisitembee mpaka kwenye moyo maana ndo pumping organ au kwenda kwenye ubongo. Usitishike mimi ni lay person sina hata chembe ya hata u nurse ila huwa naangalia kipindi kinaitwa Monster inside me kwenye Animal plannet.
 
Mimi siyo daktari lakini swali ni je hukumeza kitu chenye kuakisi umeme kweli na kimo kwenye damu yako au kimebana kwenye utumbo? Angalia kisitembee mpaka kwenye moyo maana ndo pumping organ au kwenda kwenye ubongo. Usitishike mimi ni lay person sina hata chembe ya hata u nurse ila huwa naangalia kipindi kinaitwa Monster inside me kwenye Animal plannet.
Unaamini katika uwepo wa “INHUMAN” ?
 
hio hali ilikuwa inanikuta nikwa chuo room nzima tulikuwa tukishika vitanda lazima shot nahisi hio ni hali ya uoga kama ilivyo uoga wa kufunga jicho maana hali hio inatokea sio kila saa na sio saa umejiandaa
 
Swali tu, kwakua nimeona ni mfwatiliaji.
Mfuatiliaji wa nini? Humu kila mtu ana haki ya kusoma, ku like na ku comment chochote mradi sivunji sheria za JF. Wengine labda hawana muda au they are not interested in some of the topics. Samahani kama nimekukwaza ila sitaacha kutoa mawazo yangu.
 
Mfuatiliaji wa nini? Humu kila mtu ana haki ya kusoma, ku like na ku comment chochote mradi sivunji sheria za JF. Wengine labda hawana muda au they are not interested in some of the topics. Samahani kama nimekukwaza ila sitaacha kutoa mawazo yangu.


Duuh!!! Mbona povu ivo, wewe umeelewaje labda?
Sioni haja ya hiyo essay yote hapo. Swali dogo sana na wala sikuwa na sina nia ya kujaji mchango wako!
 
Back
Top Bottom