Mikono inapiga shoti nikishika chuma chochote au hela ya sarafu (Coin)

Duuh!!! Mbona povu ivo, wewe umeelewaje labda?
Sioni haja ya hiyo essay yote hapo. Swali dogo sana na wala sikuwa na sina nia ya kujaji mchango wako!
Kwaheri ya kuonana kwenye mada nyingine.
 
Hii Hali inanitokea Sana kias kwamba Nikigusana na mtu inapiga shoti had sauti inasikika kabisaa
 
Pole mkuu..wote waliochangia so far Wazushi tu. Tatizo hapo ni kitu kinaitwa static energy. Nenda google search utapata solution. Andika hivi kwenye search box' how to get rid of static energy on my body'. Jaribu kubadilisha sehemu unayohifadhia nguo zako.
 
Angalia carpet unalotumia hasa nyumbani au ofisini. Kuna baadhi ya material huwa zinatengeneza static electricity kubwa sana. Na umeme huo unaweza kuharibu baadhi ya vifaa vya kielectroniki endapo utavishika pasipo uangalifu. Ondoa kapeti
 
Humanoid!
Hao wanakua ni ma robot kabisa ila wanaonekana kama binadamu, inhuman wenyewe ni binadamu kabisa lakini wanafanya vitu zaidi ya uwezo wa kawaida wa kibinadam
 
Hao wanakua ni ma robot kabisa ila wanaonekana kama binadamu, inhuman wenyewe ni binadamu kabisa lakini wanafanya vitu zaidi ya uwezo wa kawaida wa kibinadam
Cc Zeus1
Niliuliza tu lakini sio la huyu bwana, mwenye static electricity
 
Kuna baadhi ya nguo hasa zenye polister materials huwa zinasababisha mwili kupiga shoti.. Cha kqanza anza kujikagua.. Je ukivaa coton material full unapiga short au ukichanga na polister ndo unapiga shoti.. Toa jibu ndo tukupe ushauri sasa
 
Habari wapendwa?
Kama kichwa cha habari kinavosema..hiyo hali imenianza juzi....msaada tafadhali!!

[HASHTAG]#Shukrani[/HASHTAG]
Mkuu utakuwa na umeme. Ngoja waje wataalam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…