Mikopo inatisha, yanaenda wapi hayo matrilioni!

Mikopo inatisha, yanaenda wapi hayo matrilioni!

Hivi tutalipa kwa Uchumi gani tulionao,usije kukuta huyu Mama Maridhiano anakopa Ili kulipa madeni yaliyoziba sehemu zingine.Kile kichwa siyo cha mipango bali matumizi.
Godfathers wa hii nchi wamwambie ajiuzuru au Bendera ipepee nusu mlingoti vinginevyo tutafilisika kama Ghana!
Kama taifa tupo kwenye OMBWE... 😞😞
 
Bajeti ya nyumba za Marais wastaafu Huwa inapangwa katika bajeti Wala haihusiani na mikopo umiza ya Mama Maridhiano.Jibu hoja!
Bajeti ni mipango, hela zinatoka wapi? Au hiyo bajeti huwa inatolewa serekali ikiwa na hizo fedha mkononi?
 
Mana nilinunua kg 25 za sembe ya mahindi kwa tsh. 44,000/=. Nchi hii kwa Sasa maisha ya mwananchi wa kawaida ni mateso makubwa Sana lakini kila uchao tunaambiwa kuhusu mikopo sijui ya kufanya Nini!.
'Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa utweza UTU wa binadamu". Dr. Bashiru Kakurwa Ali.
Mahindi yanalimwa,hayatoki mbinguni Wala kiwanda Cha serikali,kalime
 
Mbona unauliza maswali ambayo hata mtoto mdogo hawezi kuuliza,kwamba wewe huoni miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na serikali yetu? Huoni uwekezaji mkubwa na wakihistoria uliofanywa na serikali hii katika secta karibu zote? Huoni namna vituo vya Afya vinavyojengwa kila Kona ya nchi yetu? Huoni hospitali za mikoa Kanda Hadi Taifa zinavyoboreshwa na kuongezewa uwezo wa kiviifaa na wataalamu ili kuweza kutoa huduma za kibingwa ambazo awali ilikuwa Ni mpaka mgonjwa apelekwe nje ya nchi?

Huoni uboreshaji wa secta ya Elimu? Huoni uwekezaji wa mabillioni ya pesa katika secta hiyo ambayo yamechochea hata ongezeko ya fursa za ajira kwa vijana? Huoni kwa Sasa Hakuna mwanafunzi anayekaa nyumbani kwa kukosa Ada au uhaba wa madarasa?

Huoni kwa Sasa wanafunzi wote wanaripoti shuleni kwa wakati? Huoni kwa Sasa Elimu Ni bure Mpaka kidato Cha sita huku bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu ikipaa Hadi kufikia billioni Mia sita na pointi? Huoni ukarabati na ujenzi wa shule mbalimbali kwote nchini unaofanywa na serikali ya Rais wetu mchapa kazi mama Samia?

Huoni mapinduzi katika secta ya kilimo? Kwamba hukusikia kuwa serikali imetoa mabillioni ya Ruzuku takribani billioni Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu?

Huoni namna mh Rais Rais alivyogusa maisha ya wakulima kwa uamuzi huo wa kizalendo na kijasiri? Huoni kwa Sasa namna kilimo kinavyowainua wakulima na kuwafuta wengi kujiongoza katika secta hii?

Huoni miradi ya bwawa la umeme na reli ya kisasa vikiendelea kwa Kasi nzuri? Huoni kukamilika kwa miradi hiyo inakwenda kulimulika na kuliangazia Taifa letu kila mahali? Huoni itachochea maendeleo ya viwanda kutokana na uwepo wa umeme wa uhakika?

Huoni itapunguza Bei ya umeme na hivyo Bei ya bidhàa kuwa ya chini? Huoni kukamilika kwa rwli ya kisasa kutachochea usafirishaji wa bidhàa zetu na za majirani? Huoni bandari yetu ya Dar itapokea mizigo mingi na hivyo kuongeza mapato tutakayo wekeza katika secta nyingine Kama vile Elimu na Afya?

Kwamba hayo na mengi huyaoni? Kwamba wewe ni kipofu? Au umetumwa? Au siyo mtanzania? Au unachuki binafsi na mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani?
B-c-
 
Mpaka sasa Mama amekopa Matrilioni mangapi ndugu zangu..!?

Lakini Matrilioni hayo ni kwa ajili ya nani!?? Yanaenda wapi hayo matrilioni!?? Mbona umasikini unazidi kutamalaki wazee.

Lakini mpaka masikini wa kutupa analipa haya madeni. Mbona maisha yanazidi kuwa ya kifukara?

Kuna watu hapa nafikiria kuwaomba msamaha. Ipo siku nitawaomba msamaha hawa watu..

1. Hayati John Joseph Pombe Magufuli
2. Humphrey Polepole
3. Job Ndugai
4. Elvis Musiba..

Ehh! [emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
WACHA NCHI IKOPE ILI MRADI WATAKAOLIPA BADO HAWAJAZALIWA
 
Mpaka sasa Mama amekopa Matrilioni mangapi ndugu zangu..!?

Lakini Matrilioni hayo ni kwa ajili ya nani!?? Yanaenda wapi hayo matrilioni!?? Mbona umasikini unazidi kutamalaki wazee.

Lakini mpaka masikini wa kutupa analipa haya madeni. Mbona maisha yanazidi kuwa ya kifukara?

Kuna watu hapa nafikiria kuwaomba msamaha. Ipo siku nitawaomba msamaha hawa watu..

1. Hayati John Joseph Pombe Magufuli
2. Humphrey Polepole
3. Job Ndugai
4. Elvis Musiba..

Ehh! 😞😞😞😞
1. Hizo dola tunazihitaji. BOT watatupa Tshs zitakazoumika kwenye miradi iliyotajwa halafu tunawapa dola ili reserve ya dola iongezeke kwa ajili ya mahitaji ya imports. Kumbuka importation ni lazima kwa sababu sio sisi tu, mataifa yote dunaini hayajaweza kujitosheleza kwa mahitaji, let alone third world kantriiz.
2. Mikopo husaidia kuharakisha maendeleo na kufanya capacity building katika eneo la mapato na kuchaji uchumi.
3. Mikopo pia huongeza uwezo wa kulipa madeni ambayo riba zake zimeiva. Mikopo ambayo muda wake wa kulipa umefika. Mikopo haiepukiki katika current World Order.
4. Wakopeshaji wanajileta wenyewe. Ni kama mabenki yanavyokuja huku kwenye taasisi zetu kutangaza fursa za kukopa kwa riba nafuu.
 
Mpaka sasa Mama amekopa Matrilioni mangapi ndugu zangu..!?

Lakini Matrilioni hayo ni kwa ajili ya nani!?? Yanaenda wapi hayo matrilioni!?? Mbona umasikini unazidi kutamalaki wazee.

Lakini mpaka masikini wa kutupa analipa haya madeni. Mbona maisha yanazidi kuwa ya kifukara?

Kuna watu hapa nafikiria kuwaomba msamaha. Ipo siku nitawaomba msamaha hawa watu..

1. Hayati John Joseph Pombe Magufuli
2. Humphrey Polepole
3. Job Ndugai
4. Elvis Musiba..

Ehh! 😞😞😞😞
Kununua mashangingi + posho za wakubwa
 
Hayo matrilioni yanayosainiwa kila siku yanaenda wapi?
nchi iko hatarini.ukikopa sana hata uhuru wako wa kujiamini unapungua.kwa hali hii wazungu watakuja kunadi na kukamata rasilimali zetu muda si mrefu.si mmesikia nchii kama misri imefilisika na imeanza kuuza rasilimali zake nchi za Ghuba na kwetu hii si dalili nzuri.wale wanaoshabikia hiyo mikopo tutakuja kusutana humu ndani.mzaha mzaha hutumbua usaa.
 
Jana nilinunua kg 25 za sembe ya mahindi kwa tsh. 44,000/=. Nchi hii kwa Sasa maisha ya mwananchi wa kawaida ni mateso makubwa Sana lakini kila uchao tunaambiwa kuhusu mikopo sijui ya kufanya Nini!.

'Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa utweza UTU wa binadamu". Dr. Bashiru Kakurwa Ali.
Mm nlnunua mchele kilo 5 kwa 15000 kwel tunaenda kupotea kabsa
 
Mpaka sasa Mama amekopa Matrilioni mangapi ndugu zangu..!?

Lakini Matrilioni hayo ni kwa ajili ya nani!?? Yanaenda wapi hayo matrilioni!?? Mbona umasikini unazidi kutamalaki wazee.

Lakini mpaka masikini wa kutupa analipa haya madeni. Mbona maisha yanazidi kuwa ya kifukara?

Kuna watu hapa nafikiria kuwaomba msamaha. Ipo siku nitawaomba msamaha hawa watu..

1. Hayati John Joseph Pombe Magufuli
2. Humphrey Polepole
3. Job Ndugai
4. Elvis Musiba..

Ehh! 😞😞😞😞
Umeambiwa deni Lina riba ndogo na grace period kubwa wee hofu Yako nini mwaisa. Piga biaaa maisha yaendelee
 
Mpaka sasa Mama amekopa Matrilioni mangapi ndugu zangu..!?

Lakini Matrilioni hayo ni kwa ajili ya nani!?? Yanaenda wapi hayo matrilioni!?? Mbona umasikini unazidi kutamalaki wazee.

Lakini mpaka masikini wa kutupa analipa haya madeni. Mbona maisha yanazidi kuwa ya kifukara?

Kuna watu hapa nafikiria kuwaomba msamaha. Ipo siku nitawaomba msamaha hawa watu..

1. Hayati John Joseph Pombe Magufuli
2. Humphrey Polepole
3. Job Ndugai
4. Elvis Musiba..

Ehh! 😞😞😞😞
Kwani wewe husomi yanakoenda? Unauliza kama mbumbumbu
 
Jana nilinunua kg 25 za sembe ya mahindi kwa tsh. 44,000/=. Nchi hii kwa Sasa maisha ya mwananchi wa kawaida ni mateso makubwa Sana lakini kila uchao tunaambiwa kuhusu mikopo sijui ya kufanya Nini!.

'Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa utweza UTU wa binadamu". Dr. Bashiru Kakurwa Ali.
Inauma sana mkuu
 
Shule ina wanafunzi elf 3 walimu 40 halafu anajitokeza mpumbavu mmoja anasema mama anaupiga mwingi!. Mwingi wa mafisadi January makamba na mwigulu madelu Nchemba na watoto wa vigogo kule hazina.

Wananchi tunateseka halafu anajitokeza mtu kutulalamikia kuwa mawaziri na makatibu wakuu hawaelewani!. Kama hawaelewani ni kwa nn usiwawekee kandoo uteue lundo la watanzania wataalamu ambao wamejaa mtaaani bila ajira?.

Wananchi tunanjaa anajitokeza mtu kutuambia kuwa anafikiria kuongeza wizara ofisini kwake ili kutengeneza watu ulaji!.
Mkuu na wanaokuja kushangilia huu ujinga tunao humu humu na wengine tunapishana tu kwenye maduka ya wachaga wanakopa kama sisi,kinachwaharibu vijana Mama kaifanya Siasa imekuwa kama kupenga tu Kamasi....wanashabikia na kushangilia huku wakisubilia tu teuzi.
 
Back
Top Bottom