Oyaa mazeee yani wadau wamenambia hata direct cost haulipi. .dah kweli hii wameijali sana, washkaj zangu wameshasajiliwa na wapo rum mda huu, tehtehteh thumb up kwa serkal ya ccm
2mor mi naenda dodoma nkajionee mwenyeweeee
Alafu huu uandishi wako wa xx upeleke FB sio JF wewe.Aman tu, haudaiw hata jerooooo bt kama ulxhalpa kuna utaratbu wa kuruduxhiwa pexa yako.
yan UDOM ni raha xanaaaa
Masomo yameshaanza ama bado!? Na kama yameanza kuna jumla ya masomo mangapi na unaweza kunitajia kwa majina yake!?
yaani sio hapo tu kuna chuo kimoja kinaitwa st.joseph university in tanzania-arusha campus nacho kina hiyo programme ya miaka mitano nao waliomba mikopo cha ajabu na cha kushangaza majina yalitoka ya watu 3 tu na waliobakia wamehoji hilo suala wanachojibiwa ni kwama hawana haki ya kuuliza chochotehabr zenu wana jf. .naomben kufahamishwa majina ya waliomba mikopo kama yameshatoka, manake leo tarh 2 bado kimya na tarh 8 nikuripoti, msaada jamani,
Mahela yako ubaoni block 13 apa colej ya social udom. .baada ya wiki mbili hivi navuta PC, raha jamani tehteh. .
yashatoka mkuuuu